NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,135
Kama sio uvamizi nijibiwe maswali haya.Ni kweli clip inaonyesha watu wanaingia kistaarabu bila purukushani yoyote ile makonda anaulinzi so haina utata wowote sema clouds wanataka kuzima soo wasionekane wabaya hata mara ya kwanza basi wasingerekodi baada ya kuona hawana uhakika na taarifa hiyo
Kile kituo kimekaa kisela sela mno. Kila mtu ni msela msela paleclouds wamejitakia wenyewe kudhalilishwa na huyo Bashite kwani wao kutwa kucha walikuwa wanamrusha kwa ishu za magumashi. sidhani ITV au channel 10 anaweza Fanya hivyo
Wasimtumbue mpaka akatoe ushahidi kesi ya kubambikia bangi wemaJela inamsubiri kwa hamu kubwa.
xx c useme umecop n kupaste kwa mange!Hii ishu inayoendelea ya makonda kuvamia clouds na silaha kama ipo basi ni mkakati uliopangwa kabisa ili jamaa aweze kutumbuliwa na kosa la kutumia vibaya madaraka kwa kuvamia kituo cha habari na silaha na akitumbuliwa kwa kosa hilo bado litamuweka Makonda kwenye safe side ya yeye kuweza kurudi baadae kwenye medani hii ya uongozi au siasa kwani wengi tumeshaona wakitoka kwa makosa tofauti na kurudi kwenye vipindi vingine kwa sera fulani ya kuwa walionewa mwanzo au walifanya ili kulinda kitu au sababu nyingine...
HII ITASAIDIA KUTOTUMBULIWA NA VYETI FEKI KWANI TUHUMA HIYO INAMUHARIBIA IDENTITY YAKE KABISA KUANZIA JINA NA HATA MTAANI NI ZAID YA AIBU...
LAKINI HILI LIPO SO SOFT NA NI MKAKATI WA WAZI NA CLOUDS...
TOKEA LINI CLOUDS NA JAMAA WAKAKOSANA WAKTI KILA KUKICHA MUNGU WA MAGOGONI NA BASHITE WAMEKUWA WAKITUMIA KILE CHOMBO KWA MASLAHI YAO....
hebu weka hiyo ya mange aaliyoweka hili swala nione cuz mange yy anaamini clouds ilivamiwa na hadi kamuomba radhi soudy brown ila mm nalojua clouds, mkulu na bashite lao mojaxx c useme umecop n kupaste kwa mange!
Ebwana umenena Sana nduguyangu kwani kila siku tunawasikia wakipongeza hata ziara za Bashite Dar es salaam Clous Tv walikuanaeHii ishu inayoendelea ya makonda kuvamia clouds na silaha kama ipo basi ni mkakati uliopangwa kabisa ili jamaa aweze kutumbuliwa na kosa la kutumia vibaya madaraka kwa kuvamia kituo cha habari na silaha na akitumbuliwa kwa kosa hilo bado litamuweka Makonda kwenye safe side ya yeye kuweza kurudi baadae kwenye medani hii ya uongozi au siasa kwani wengi tumeshaona wakitoka kwa makosa tofauti na kurudi kwenye vipindi vingine kwa sera fulani ya kuwa walionewa mwanzo au walifanya ili kulinda kitu au sababu nyingine...
HII ITASAIDIA KUTOTUMBULIWA NA VYETI FEKI KWANI TUHUMA HIYO INAMUHARIBIA IDENTITY YAKE KABISA KUANZIA JINA NA HATA MTAANI NI ZAID YA AIBU...
LAKINI HILI LIPO SO SOFT NA NI MKAKATI WA WAZI NA CLOUDS...
TOKEA LINI CLOUDS NA JAMAA WAKAKOSANA WAKTI KILA KUKICHA MUNGU WA MAGOGONI NA BASHITE WAMEKUWA WAKITUMIA KILE CHOMBO KWA MASLAHI YAO....