Hii ishu inayoendelea ya makonda kuvamia clouds na silaha kama ipo basi ni mkakati uliopangwa kabisa ili jamaa aweze kutumbuliwa na kosa la kutumia vibaya madaraka kwa kuvamia kituo cha habari na silaha na akitumbuliwa kwa kosa hilo bado litamuweka Makonda kwenye safe side ya yeye kuweza kurudi baadae kwenye medani hii ya uongozi au siasa kwani wengi tumeshaona wakitoka kwa makosa tofauti na kurudi kwenye vipindi vingine kwa sera fulani ya kuwa walionewa mwanzo au walifanya ili kulinda kitu au sababu nyingine...
HII ITASAIDIA KUTOTUMBULIWA NA VYETI FEKI KWANI TUHUMA HIYO INAMUHARIBIA IDENTITY YAKE KABISA KUANZIA JINA NA HATA MTAANI NI ZAID YA AIBU...
LAKINI HILI LIPO SO SOFT NA NI MKAKATI WA WAZI NA CLOUDS...
TOKEA LINI CLOUDS NA JAMAA WAKAKOSANA WAKTI KILA KUKICHA MUNGU WA MAGOGONI NA BASHITE WAMEKUWA WAKITUMIA KILE CHOMBO KWA MASLAHI YAO....