RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Ah! coco bhana... najua unajikaza ki-soap tu hapo, huna lolote!!! Ukibeba mzigo ukakuzidi nguvu; unaudondosha tu... simple! Back then, mwenzako nilikuwa namteteaga Bashite humu lakini hili zigo la safari hii nilipoliona tu; kwa mbaaaaaaaaaaaaali; nikajua ni zigo la misumari hili; halibebeki!!! Mwenzako mapeeeeeeeeeema; since day one nikasema hili la safari hii ni lako peke yako; na wala sitakaa kimya... nitakuwa nakutandika barabara as if sijawahi kukutetea huko nyuma!!!

Kwahiyo endelea tu kujikaza ki-soap! Chozi likikukaba liachietu hata kwa mayowe na nitakubembeleza!!!
Sure nakumbuka uhodari wako wa kumtetea jamaa
 
Nyani Ngabu sisi wenye mawazo ya kijuha tunazidi kuongezeka siku hata siku kutokana na matendo ya hao kina Makonda na Magufuli!!

Hayo ya kwenu mengine hayanihusu mimi.

Ambacho kinanihusu ni wewe kusema eti Makonda anatuaibisha Wasukuma.

Kudhani hivyo ni uju.ha.

Makonda haniwakilishi mimi na wala hawakilishi Wasukuma wengine niwajuao.

Acha mambo ya kuhusisha watu pamoja kisa tu wote wanatokea sehemu moja au wote ni wa kabila moja.

Mimi ni mtu huru, mtu binafsi ambaye najiwakilisha mwenyewe.

Kama wewe watu wa kabila lako au sehemu utokayo wanakuwakilisha wewe basi usidhani na kwa wengine iko hivyo.
 
Kwa hapa alipofikia huyu Mh. Sasa ni dhahiri shahiri kwamba amepagawa na shutuma zinazomuandama na ameamua kutumia nguvu kumchafua/kumzima mtu anaehisi ndo adui yake mkubwa (Gwajima) kitendo cha kuvamia na kuforce apewe video inayomuonyesha mwanamke anaedaiwa kuzaa na Gwajima si cha kiungwana na kinazidi kumchafua na kufanya hata waliokuwa na imani nae kidogo kumuona hopeless kabisa, ukizingatia hao hap clouds ndo walikuwa wadau wake wakubwa sasa sijui nani atabaki upande wake.
2d3c60071d026cc4de006039398d7f8c.jpg
 
Najaribu kupakia video iliyochukuliwa na CCTV camera ikimuonyesha RC akivamia office za clouds na polisi lakini inakataa
 
Habari kama hizi za kichochezi na za uzushi ndizo zinazotuponza wanaJf mbona tuliokuepo mjengoni mda huo hatujasikia lolote na hakuna chochote kilichotokea.

Au umetumwa?
Clouds ni taasisi kubwa inayoongozwa kwa misingi na taratibu zake haiwezekani mtu from no where aje tu aingie mpaka peoduction bila kufata utaratibu!

Acha uzushi watanzania puuzeni hizi taarifa si za kweli!!.

Kwani hile video huioni au NA WEWE HUNA VYETI......??????
 
Nimeona clip ya mheshimiwa makonda akivamia kituo cha redio cha clouds fm. Hii inanikumbusha miaka ya nyuma hayati mama Lucy Kibaki alipokivamia ofisi ya magazeti cha standard group kilipo nairobi kenya akiwa na maaskari.
Yetu macho kwa serikali ya awamu ya tano.
 
Huyu Makonda asijekuwa ni mtoto wa nje wa Sizonje!!! KWani akuli zake finyu sana kama Sizonje ni mbabe kama Suzonje,anakiburi kama Sizonje.Anafanya ujinga, anajuwa sizonje hawezi sema lolote.Hapa na hisi kuna siri nzito sana. Asijekuwa ni mtoto wake wa nje ya ndoa .Labda amemfichia mkewe!!!!!.Hebu tulichunguze hili.Ina imani ha jf kuna wachunguzi wa hali ya juu kuliko jeshi letu la polisi.
 
Sure nakumbuka uhodari wako wa kumtetea jamaa
Yah man... kwa kawaida huwa sina tatizo na mtu kama mtu bali huwa nina tatizo na issue! Mtu akifanya jambo ambalo kwangu naliona ni right; nam-support bila kujali chama chake lakini huyo huyo akizungua kwa issue nyingine; nampa vitofa kwa nguvu ile ile niliyokuwa naitumia kum-support!!!

Hata huyu JPM nilisham-support sana back then...!! Lakini kwa bahati mbaya support yangu kwake haikudumu kwa sababu ndani ya muda mfupi akaanza kuharibu na hivyo hapo hapo nikamgeuka kama nilivyomgeuka Bashite!!!

Huyu Bashite nilimgeuka since day one alivyokuja na drama za "kupambana" na wauza mihadarati!! Kwangu ile haikuwa vita dhidi ya wauza mihadarati bali ilikuwa ni kuwasaidia wauza mihadarati!!!

Nisichoweza mimi ni kujifanya sioni uzuri uliopo au uovu uliopo!!!
 
Nakuonea huruma sana ulivyokua unatumia clouds kujijenga kisiasa pole sana sasa sijui utaenda efm? efm hawapendagi upuuzi tbc labda tiddo aondoke
Na clouds na.nyie mkome kumzoea makonda ona sasa mnaenda kuozea central huyu limbukeni kashawatia hasara tiyari matangazo yashapungua.kisa huyu masifa wa koromije ndo mkomeee
Sasa hivi nione makonda atatolea wapi matamko hahaaa kajenge radio yako kama unaweza
Huna lolote sahivi lemutuz chali, clouds chalii halafu mkuu anavyopenda clouds akisikia hivyo sasa wafaa
jiandae ur looser bashite movie yako ya madawa imekupeleka kaburi la kutumbuliwa ndo ukome
mungu hamfichi mnafiki
 
Mtu anayegushi vyeti ni rahisi sana kuwa jambazi, watu wa namna hiyo sio wa kuwatetea kwa lolote.
 
Back
Top Bottom