RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Hi
"Hiki kitendo hakina tofauti na UHAINI, yaani pale angeweza kuchukua mike na kuamuru kamera upande wake na kutangaza AMEPINDUA SERIKALI! Kizaa zaa gani kingetokea?
Najua mkurungenzi mdogo Ruge hatokubali, lazima jambo litendeke kuhusu tukio hili."

cc: Mwigulu Nchemba , Nape Nnauye
Hivi kusaga ni msukuma na mwanasheria masaju pia ni msukuma mimi najua ni watu wa mkoa wa Mara lakini nilisahau watanzania wote ni wasukuma
 
kweli nazidi kuamini kwamba rafiki yako ndo adui yako yani makonda alivyokuwa kashibana na clouds leo hii naona kashaanzaaa vitaa nao mdogo mdogo sasa kazi aliyonayo ni kuanza kujipendekeza itv alikokuwaa hapatani nao
 
Dah! Hii ni aibu kubwa kwa mkuu wa mkoa....sasa naanza kumwamini Gwajima.....Hana mda mrefu atatumbuliwa tu
 
So?
Asante mkuu Kwa kurejesha avatar picha yako inayoendana na meinkempf. Naona umerudi jamvin Kwa kas ya ajab baada ya kupotea Kwa muda. Nakumbuka enzi za magu akiwa bado mgen ikulu ulikuwa unashusha nondo humu jamvin ukimsifu. Nakumbuka nikiwa mgen JF 2013 ulikuwa unapenda kutumia neno "vitu vyenye ncha kali" Yani visu nk na "vitu vyenye ncha kali vinavyoruka hewan Kwa kas ya ajab" risas. Nakumbuka nondo zako za yule housegeli uganda aliyemtesa mtoto
 
JWTZ naomba msikubali Makonda kuwachafua..

CDF kemea hili...Jeshi letu litaonekana la hovyo sana..
Wamejichafua zamani sana walipoanza kuingilia uchaguzi, sasa wanajinesha waziwazi, si tumemuona yule Canal ambae ni mkuu wa wilaya kule kigoma jana "anaharibu" mashamba ya bangi huku amevaa uniform za JWTZ? Ina maana yule bado hajastaafu jeshini. Wakati tunaambiwa nchi hii ni ya kidemokrasia sio under military rule. Hebu wanaolewa watueleweshe hii imekaaje.
 
Kama baada ya wiki huyu jamaa hajafukuzwa nipo tayari kupanda ndege nije niwe wa kwanza kuandamana. Hili kalio tumelivumilia kwa muda mrefu sana.
 
me mwenyewe mwana ccm ila kama kweli nchi inaendeshwa kwa misingi ya sheria na haki,,Mh Rais amwamulu mkurugenzi mtendaji wa baraza atoe vyeti vya Makonda AZARANI..Taifa lina HAZINA KUBWA LA VIJANA TENA WENYE ELIMU NZURI,,WAFANISI WAZURI WA KAZI,,kwa nini Mh Rais anamng'ang'ania Makonda?kuna nini hapo?Nchi haina amani kwa sasa,,vijana wamesoma na wamefaulu vzr lkn hawana kazi,,waliofeli na kufoji vyeti leo viongozi,,nchi inayoongozwa na wajinga itafika wapi jamani na wenye uwezo wapo mitaani na vijiweni?
 
Mpaka sasa wanaomtuhumu Makonda kwa kufoji vyeti hawajaleta ushahidi wa aina yeyote kuthibitisha tuhuma zao.Baada ya kushindwa kuleta ushahidi sasa wanataka Makonda eti aanze yeye kuwaonyesha vyeti vyake. Yaani ni kichekesho cha mwaka
 
Hivi clouds hamna Security Alarms?
Maana mmetegemea cctv , vipi huyo jamaa angecover sura yake??
Yani ilitakiwa hapo vilie ving'ora mtaa mzima uamke.
Mtu kuja usiku kwenye kituo cha habari bila kufata utaratibu na KUTUMIA UBABE ikiwemo kutumia VITISHO KWA SILAHA ni MHALIFU.
Hii Raisi akipuuzia kuna siku mtu atateka kituo cha habari na kukitumia kutangaza mapinduzi ya nchi..
Just wait
 
Ndugu yangu Nyani Ngabu huyu jamaa anawatia aibu nyie watu wote mnaotokea usawa wa Kolomije!!

Hapana.

Utakuwa ni mpumbavu kabisa ukidhani kuwa kwa vile tu na yeye ni Msukuma basi anawakilisha Wasukuma wote na kwamba kila afanyacho kinahusu Wasukuma wote.

Mimi huyo mtu simjui na yeye hanijui.

Hanipi hata senti moja ya ujira wake.

Sasa anatutia aibu kivipi wakati yeye ni mtu binafsi na kila Msukuma ni mtu binafsi?

Kudhani hivyo ni akili za kiju.ha kabisa.

Yeye siyo balozi wa Wasukuma. Iweje sasa kila afanyayo yanitie aibu mtu huru kama mimi?

Nyie ndo watu mnaotazama mambo kupitia tundu la ukabila na ndo maana mmeshaanza kulia lia kuhusu mambo ya ukabila.

Kwa hiyo hapana. Mimi hanitii aibu hata kidogo. Simjui hanijui.

Kama anafanya mambo ya kutia aibu basi anajitia aibu yeye mwenyewe na labda mtu au watu waliomweka kwenye hiyo nafasi alonayo.

Tafadhali usinihusishe kabisa na mambo afanyayo huyo mtu. Mimi najielewa kupita kiasi na najiwakilisha mwenyewe.

Siwakilishi mtu mwingine [ukiacha mwanangu na familia yangu ya karibu] na siwakilishwi na mtu ukiondoa hao hapo niliowataja kwenye mabano.
 
Lol Chige

Waliandika askari nane, na receptionist alipigwa mala fujo, bunduki juu juu kama vitani.

Clip inaonyesha mengine kabisaaa, wanabadili gia angani kuvutana wazidi kudanganyana hao waliosoma div 1*.

Wasiojua kutumga uongo, bora wanaoiba vyeti kiukweli wana akili zaidi yao.

Vyeti to magari to ujambazi to......


Makonda jembe

Oyeeeeee
Jana ulipinga makonda hawezi kuvamia kituo..leo umebadilishia gia wapi wewe?
 
utakua le mtumboz tuu wewe cocochanel maana umezid kujitoa ufahamu mpaka una boa umu jukwaan


[HASHTAG]#footageNo2[/HASHTAG] iyo apo wana onekana askari zaid wakiingia ofisin umo
swali kwako kilaza ww unazan hao jamaa waliingia kufanya nini ofisin na hiyo mitutu ya bunduki..???
Atakwambia walienda kuhakiki silaha zao
 
Mpaka sasa wanaomtuhumu Makonda kwa kufoji vyeti hawajaleta ushahidi wa aina yeyote kuthibitisha tuhuma zao.Baada ya kushindwa kuleta ushahidi sasa wanataka Makonda eti aanze yeye kuwaonyesha vyeti vyake. Yaani ni kichekesho cha mwaka
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_IMG_4286.JPG
 
Back
Top Bottom