Sasa wanazengo wanavyosema kisa mama watoto ameenda kuolewaHoma ya Ruge ilianzia hapa , inasemekana baada ya tukio hili " alikumbwa na msongo wa mawazo "
Hili sakata sindio lilimfurusha Nape uwaziri!RC aombe radhi kwa uvamizi.RIP Ruge!
duh....RIP Ruge
SWISSME
Kumbe!Alienda kulazimisha kipindi chake kirushwe hewani ili ajijengee jina.
Tayari ameshafika msibani
Kumbe ndio maana waling'oa cctv ya Dr Kalemani, Bashite angeonekana tena kwenye shambulizi la Lissu. Clouds waliwahi kuitoa screenshotduh....RIP Ruge
HahaaaaKumbe ndio maana waling'oa cctv ya Dr Kalemani, Bashite angeonekana tena kwenye shambulizi la Lissu. Clouds waliwahi kuitoa screenshot
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ndio kapata simu janja ya zawadi kwenye graduation yake ya mwaka huu! Hivyo ndio anaona matukio ya nyuma. hahahahahahaahahahMkuu mletamada, hii ni ya zamani au ndiyo Dude limeamshwa upya? Ha ha ha ha ha ha
Mkuu, wakati mwingine hayo huwa ni maigizo tu. Siasa na kutajwatajwa ni mapacha. Huwa ni michezo tu.Wasukuma bwana!
Hivi inaweza kutokea watu mnatoka sehemu moja halafu mnapigana vita!
Mara mwingine amtuhumu mwenzie kuwa anahusika na madawa ya kulevya, mwingine atoe siri za maisha ya mwenzake!
Kilimanjaro hakuna hakuna hakuna hakuna huo upuuzi!
Itakuwa kanunua Tigo kitochi jana. Ha ha ha ha haLabda ndio kapata simu janja ya zawadi kwenye graduation yake ya mwaka huu! Hivyo ndio anaona matukio ya nyuma. hahahahahahaahahah