RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Wasukuma bwana!
Hivi inaweza kutokea watu mnatoka sehemu moja halafu mnapigana vita!
Mara mwingine amtuhumu mwenzie kuwa anahusika na madawa ya kulevya, mwingine atoe siri za maisha ya mwenzake!
Kilimanjaro hakuna hakuna hakuna hakuna huo upuuzi!
Nakusalimia sana mkuu NAKWEDE
 
Unaniangusha mkuu, inakuwa kama sio GT? Tukio LA clouds liligharimu maisha? Nadhani tusubiri labda kuna kitu kinaandaliwa!
Liligharimu vipi maisha?? fafanua mkuu maana naona labda kuna jambo wenzetu mnalifahamu halafu mnafikiri kila mtu analifahamu. JF is where we dare to talk openly zungumza tu mkuu, na ukizingatia sana leo bosi ndio anapokea tuzo, jimwage.
 
Makonda hawezi kutumbuliwa kwa sababu nje na siasa is dead
 
Hii ya 2017????

Ambayo ikamtoa Nape? Na juzi Nape kagalagala anaomba msamaha?
 
Hivi unategemea mkuu yupi amchukulie hatua huyo Makonda kwa uharamia huo??

Jiwe ndiye aliyemtuma afanye ujambazi huo, halafu utegemee ndiye amchukulie hatua??

Quote according to Zitto's voice " The United Republic of Gangsters" mwisho wa kumnukuu
 
Azarel, Hii si ile ya clouds kipindi Ruge yupo hai, haya si mkuu alishamkingia kifua au kuna lipi lingine tena

Mkuu mletamada, hii ni ya zamani au ndiyo Dude limeamshwa upya? Ha ha ha ha ha ha

Nilivyoelewa ni kwamba hiyo picha ilivyopostiwa inamaanisha kwa kuwa hicho kitendi cha kwenda mawingu kilikuwa ni uvamizi, na kutafsiriwa kama uhalifu then kuna mambo mengine ambayo records zipo na zinamlenga P, hivyo hiyo imetolewa kama reference tu kwa kuanzia ili kuakisi hayo mengine ambayo yapo nyuma ya pazia...
Hivyo ipo episode nyingine kali zaidi!!
 
Exactly tutulie watu washushe mzigo ,dalali was waganga sijui atafanyaje Safari hii kuukwepa huu msala .
 
Wasukuma bwana!
Hivi inaweza kutokea watu mnatoka sehemu moja halafu mnapigana vita!
Mara mwingine amtuhumu mwenzie kuwa anahusika na madawa ya kulevya, mwingine atoe siri za maisha ya mwenzake!
Kilimanjaro hakuna hakuna hakuna hakuna huo upuuzi!
Mjini akili NAKWEDE kijijini nguvu!.
Endeleeni kuchezewa akili wasukuma ndio tushaishika nchi
 
Mjini akili NAKWEDE kijijini nguvu!.
Endeleeni kuchezewa akili wasukuma ndio tushaishika nchi
Mkuu niko huku miaka dahali, yaani nilichokiona wasukuma hawapendani, sio rahisi kuona akimuinua ndugu yake aliyefeli hata kama ana huo uwezo. Nikupe mfano mdogo, si unaona kuna wasukuma wengi mnapiga vita JPM, nikuhakikishie kuwa endapo EDO angepata kuwa rais usingesikia asilani mtu wa kaskazini anamsema vibaya hata wale wa CCM. Huku hampendani! ndugu kwa ndugu wanaoneana wivu akiona ndugu yake wa damu kapata hela
 
Kuna jimbo kwao huko linagomba niwa
Wasukuma bwana!
Hivi inaweza kutokea watu mnatoka sehemu moja halafu mnapigana vita!
Mara mwingine amtuhumu mwenzie kuwa anahusika na madawa ya kulevya, mwingine atoe siri za maisha ya mwenzake!
Kilimanjaro hakuna hakuna hakuna hakuna huo upuuzi!
 
Umeanza vizuri lkn umechemka kwenye hiyo clip maana hiyo tayari ilishamfukuzisha kazi mzee wa gori la mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…