RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Hata sielew nimwamini yule mmama aliesema kazalishwa na gwajima au niamini habari hii. Cha muhimu jamaa aweke vyeti mezani haya madrama hayasaidii, tatzo bwana yule hatak kukubal matokeo kwamba wabongo wamegoma kupotezea hii mada.
Asipoweka je?
 
Hiyo video imewekwa kwenye account ya hao vijana au imewekwa kwenye account za watu gani huko Instagram
Ipo kwenye accounts za watu wenye followers wengi.....kuwa na followers wengi kule Instagram ni biashara hivyo wanalipwa ili kukuwekea tangazo la biashara au video yako baada ya kuwalipa kwa lengo la kuwafikia walengwa wengi kwa wakati mmoja
 
Hiyo footage ya jinsi walivyovamia, ingefaa irushwe ili hawa madikteta wamalizwe na ubabe wao. Huyu mtu kashafikia hatua ya 'kifo cha nyani', kila anachofanya anazidi kujiharibia.
 
Naona ushosti na Clouds sasa umeisha.
 
Wewe MANKA MUSA unajua sisi Wasukuma huwa hatujalibiwi (l/r)? Kama unataka usalama weka hiyo footage hapa tuone vinginevyo tutakuwajibisha!! Ha ha ha haaaaaa,, Bashiteeeeeeeeee
 
Clouds hawana mavi ya kumkatalia makonda kurusha anachotaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…