RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Hawa wasukuma wawili mji wa Dar es salaam umewachanganya.


Mpaka wamalize ngwe yao watakuwa wameacha historia ya hovyo kuwahi kutokea

Nilitaraji mtu mweledi aongoze jiji hili awe mfano kwa wenzie
 
JPM asipochukua hatua mapema huyu Daudi atamaribia nchi na trust kwa wananchi wengi sanaa pamoja na dola nzima!! Itaonekana anamtuma na yeye anafaidika kwa anayofanya hasa blackmail alizoanzisha kujitajirisha!!! Naamini Kusaga atakuwa ameomba audinece na JPM kulalamika kwa hilo!! Sio sawa kabis kufanya alivofanya!!! Uzuri kuna camera ambazo feeds zote zipo! Ni aibu sanaa anatakiwa amtoe haraka ameshapoteza moral authority
Kweli huyu bashite amefikia hatua ya kutumia bunduki kulazimisha mambo ni ushamba au ulimbukeni, this is too much hata ka magufuli ni kubebebana hii sasa inamwaibisha kabisa.
 
Wakuu hawa shilawadu ndio maana mm niliwaza kuwa kwann wasimhoji Jamaa tuhuma za vyeti feki matokeo yake wanatengeneza video clip za kumchafua Gwajima, yaani swali la kujiuliza ni kwamba kwann wanamkwepa makonda? Kumhoji tumuma zake? Na matokeo wanamsonga baba wa watu,gwajima ametupa ukweli wa mambo mengi sana.
 
Mange ameshalipuka kule instagram ni shida, ametoa masaa kwa soudy kumwomba radhi gwajima lasivyo atawataja wanawake wote waliotembea na ruge na baba jeisca[/QUOTE
Kwahiyo RC ni kuwadi wa mkulu?
 
Back
Top Bottom