Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia ubongo wako ku-reason hata kidogo tu!!Hivi Magufuli ndiye amekubali kudhalilika hivi?
Ama kweli kila mbingu na wingu lake.... Yetu macho!!
magufuli anaona anatukomesha kumbe anajichoresha tu kitaa,watu wanamshangaa na wameamua kumpuuza ,maana sio mtenda haki na ukabila unaonekana waziwaziMh..kama ni kweli ..Mheshimiwa Magufuli asinyamaze tena....
Anaenda BAKWATA kuombewa kwa jina feki la Paul Makonda lakini Gwajima anaomba kwa jina la Daud Bashite ndiyo maana watu wamemganda wanataka vyeti hata walete Majanga ya tetemeko la aridhi watu hawabanduki kwenye mada ya vyeti.Kifo cha Nyani miti yote huteleza,Bashite kila anachofanya kina backfire.