RC Makonda wasikukatishe Tamaa ukihakikisha tunamfunga Algeria tarehe 1 July 2019 Tanzania tunafuzu hadi Ubingwa

ameshindwa kenya ataweza waarabu thubutu yake!!!!!!!!!!!!!!

Kiongozi hutaki na humuamini Makonda? Kama aliweza Kulifanikisha kwa uzuri kabisa japo hakufanikiwa kama alivyotaka Yeye Zoezi lake lile Maalum la Dodoma hadi Nairobi na Nairobi hadi Ubelgiji na Ubelgiji hadi Uingereza na Uingereza kurejea Ubelgiji tena akiaminiwa kabisa na Bosi wake aliyemteua ndiyo atawashindwa hawa Waarabu wepesi tu kutoka nchini Algeria?
 
MISSION IMPOSSIBLE! KWA WAARABU NA HIYO ROUTE ULIZOTOA MUNGU ALIINGILIA KATI. Yeye atafute sababu za kuwambia Magu!! maana mwisho itafikia magotini
 
Alishasema alipo yeye na Mungu yupo lakini jana pale uwanjani Mungu alimtafuta Daudi alipomkosa aliwageukia Harambee
Usipende kulitaja jina la Bwana Mungu wako ktk masuala ya Mzaha!
Go and repent!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…