Pre GE2025 RC Mara aagiza kusakwa kwa Mbunge wa Mwibara, adai ni mtoro hajawahi kumuona

Pre GE2025 RC Mara aagiza kusakwa kwa Mbunge wa Mwibara, adai ni mtoro hajawahi kumuona

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi ameagiza kutafutwa aliko Mbunge wa Jimbo la Mwibara Charles Kajege kufuatia Mbunge huyo kutohudhuria vikao vya kujadili maendeleo vya huo toka apate ridhaa hiyo ya ubunge kwa Jimbo hilo

Mtambi amesema hajawahi kukutana na Mbunge huyo kwa kipindi chake chote akiwa Mkoani Mara ambapo amemuomba Katibu Tawala Mkoa wa Mara Gelard Kusaya kuangalia namna ya kupata mwakilishi wa wananchi mwingine kutoka eneo hilo pindi vinapotokea vikao.

"Kuna wabunge naongea nao hadi kwa njia ya Simu tunashauriana Maendeleo ya Mkoa wa Mara lakini huyu Mbunge sijawai kumuona wala simu yake Chama mtusaidie kujua aliko na Ras uangalie namna ya kupata watu wakuja kwenye vikao kuwawakilisha wananchi hasa hivi vya maamuzi " - alisema Kanali Evans Mtambi.

Soma, Pia
 
Hii ndio nguvu ya kuchaguliwa hakuna kiongozi wa kukufukuza isipokuwa wananchi au miaka (5) pekee. Lkn mkuu mkoa, wilaya na wateule wake kuamka asubuhi mkeka tayari
 
Na atakuja kushinda 😄 wananchi watamchagua

Ova
 
Nimemkumbka jirani yangu,mzee wang bwana Richard ndasa wa sumve (RIP) 😄

Ova
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi ameagiza kutafutwa aliko Mbunge wa Jimbo la Mwibara Charles Kajege kufuatia Mbunge huyo kutohudhuria vikao vya kujadili maendeleo vya huo toka apate ridhaa hiyo ya ubunge kwa Jimbo hilo

Mtambi amesema hajawahi kukutana na Mbunge huyo kwa kipindi chake chote akiwa Mkoani Mara ambapo amemuomba Katibu Tawala Mkoa wa Mara Gelard Kusaya kuangalia namna ya kupata mwakilishi wa wananchi mwingine kutoka eneo hilo pindi vinapotokea vikao.

"Kuna wabunge naongea nao hadi kwa njia ya Simu tunashauriana Maendeleo ya Mkoa wa Mara lakini huyu Mbunge sijawai kumuona wala simu yake Chama mtusaidie kujua aliko na Ras uangalie namna ya kupata watu wakuja kwenye vikao kuwawakilisha wananchi hasa hivi vya maamuzi " - alisema Kanali Evans Mtambi.

Soma, Pia
Ujinga mtupu, kwa nini asimuulize spika.
 
Ana wasiwasi gani wakati aliupata ubunge bila jasho?
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi ameagiza kutafutwa aliko Mbunge wa Jimbo la Mwibara Charles Kajege kufuatia Mbunge huyo kutohudhuria vikao vya kujadili maendeleo vya huo toka apate ridhaa hiyo ya ubunge kwa Jimbo hilo

Mtambi amesema hajawahi kukutana na Mbunge huyo kwa kipindi chake chote akiwa Mkoani Mara ambapo amemuomba Katibu Tawala Mkoa wa Mara Gelard Kusaya kuangalia namna ya kupata mwakilishi wa wananchi mwingine kutoka eneo hilo pindi vinapotokea vikao.

"Kuna wabunge naongea nao hadi kwa njia ya Simu tunashauriana Maendeleo ya Mkoa wa Mara lakini huyu Mbunge sijawai kumuona wala simu yake Chama mtusaidie kujua aliko na Ras uangalie namna ya kupata watu wakuja kwenye vikao kuwawakilisha wananchi hasa hivi vya maamuzi " - alisema Kanali Evans Mtambi.

Soma, Pia
Nafasi inafaa arudishwe Kangi Lugola, mtetezi wa wananchi wa Mwibara
 
Back
Top Bottom