Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kazi si alishamaliza huko Mbeya??🤣🤣Kwa namna alivyoimba kwa hisia kali na uwezo mkubwa wadau wamshauri aingie Studio .
Nilichogundua ni kwamba sometimes uongozi unaminya vipaji .
View attachment 2127046
Stress compansation mechanisms. Roho inamsuta sana.Chalamila anaishi maisha simple sana nje ya U RC. Yaani hana stress full kujichanganya. Utamkuta kwenye hardware yake pale kitwiru story kwa sana na washkaji, mara ashike toroli asogeze mizigo, anapiga kande na washkaji kwa mama ntilie, anaingia zake shamba na landcruiser yake shangwe na wafanyakazi wake kama vile hajawahi kua RC
Anayajua maisha sema aliponzwa na form ya U praise team ya kumsifia mtukufu kijinga jingaChalamila anaishi maisha simple sana nje ya U RC. Yaani hana stress full kujichanganya. Utamkuta kwenye hardware yake pale kitwiru story kwa sana na washkaji, mara ashike toroli asogeze mizigo, anapiga kande na washkaji kwa mama ntilie, anaingia zake shamba na landcruiser yake shangwe na wafanyakazi wake kama vile hajawahi kua RC
Hahaha eti ndege mnana😅😅😅Kwa namna alivyoimba kwa hisia kali na uwezo mkubwa wadau wamshauri aingie Studio .
Nilichogundua ni kwamba sometimes uongozi unaminya vipaji .
View attachment 2127046
Alishavalishwa taji na shetani🤣🤣Kwisha habari
Ile bendi ya ccm wasimsahau kwenye kampeni zijazoKwa namna alivyoimba kwa hisia kali na uwezo mkubwa wadau wamshauri aingie Studio .
Nilichogundua ni kwamba sometimes uongozi unaminya vipaji .
View attachment 2127046
🤣🤣🤣hapo kwenye loosers.Ha haaaaa daaah....!! Ukipata cheo unavimba , ukikosa unakimbilia Kwa jehova , Mwenyezi Mungu ni kimbilio la wanyonge na loosers
Yaleyale ya MakondaKwa namna alivyoimba kwa hisia kali na uwezo mkubwa wadau wamshauri aingie Studio .
Nilichogundua ni kwamba sometimes uongozi unaminya vipaji .
View attachment 2127046
Stress tunazo sisi hawa jamaa wana maisha yao mazuri sana kuliko hata yetu walitumia opportunity vizuri sanaStress compansation mechanisms. Roho inamsuta sana.
Sugu anamchora tu anasema hihiiii....bhagosha
Pamoja na hayo usishangae nae akafungua kanisa lake maana utani utani inaanzaga hivyoKwa namna alivyoimba kwa hisia kali na uwezo mkubwa wadau wamshauri aingie Studio .
Nilichogundua ni kwamba sometimes uongozi unaminya vipaji .
View attachment 2127046
Maisha ni amani ya moyo na raha nafsini. Kama Chalamila anavipata hivi vitu basi yeye ni tajiri kuliko Bakhresa.Chalamila anaishi maisha simple sana nje ya U RC. Yaani hana stress full kujichanganya. Utamkuta kwenye hardware yake pale kitwiru story kwa sana na washkaji, mara ashike toroli asogeze mizigo, anapiga kande na washkaji kwa mama ntilie, anaingia zake shamba na landcruiser yake shangwe na wafanyakazi wake kama vile hajawahi kua RC
Chalamila yuko OG sana upepo wa chuki za kimagufuli za wana mtandao Chadema mazwazwa na Light brain za awamu hii zilimfurushaChalamila anaishi maisha simple sana nje ya U RC. Yaani hana stress full kujichanganya. Utamkuta kwenye hardware yake pale kitwiru story kwa sana na washkaji, mara ashike toroli asogeze mizigo, anapiga kande na washkaji kwa mama ntilie, anaingia zake shamba na landcruiser yake shangwe na wafanyakazi wake kama vile hajawahi kua RC
[emoji38][emoji38][emoji38]"Tukimaliza kazi tutavalishwa taji"