young solicitor
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 1,123
- 713
Mwanafunzi asome miaka saba tunampima kwa mtihani wa masaa matatu akifeli mbumbumbu, mjinga hana akili.
Akitoboa hapo anasoma miaka minne anapimwa tena kwa mtihani.
Much as i respect mtaka as a leader makambi lengo lake ni yale masaa matatu tu mtoto afaulu, then what!!??
Tunahitaji mabadiliko kwenye mfumo wetu wa elimu, kuwe na continues assessment za wiki, mwezi hadi mwaka za kumpima mwanafunzi na matokeo yake kwa mwaka yaamue kufaulu au kufeli kwa mwanafunzi.
Tuwe na lugha moja ya kufundishia / medium of instruction from nursery to university.
NB: Ndalichako ni 🚮🚮 ndo anayefanya wasomi wadharaulike nchii hii, idara ya ukaguzi iboreshwe mwalimu afundishe idadi iliyokubalika, kama shule haina walimu na walimu mmewajaza mitaani hamuwaajiri kwanini tusiseme wewe ni 🚮🚮
Lastly tamisemi ndo wamiliki wa shule zote nchini nanyi ni 🚮🚮🚮mnaruhusu vipi shule ifunguliwe na hamna walimu maafisa elimu wilaya na mikoa nanyi ni 🚮🚮🚮🚮
Akitoboa hapo anasoma miaka minne anapimwa tena kwa mtihani.
Much as i respect mtaka as a leader makambi lengo lake ni yale masaa matatu tu mtoto afaulu, then what!!??
Tunahitaji mabadiliko kwenye mfumo wetu wa elimu, kuwe na continues assessment za wiki, mwezi hadi mwaka za kumpima mwanafunzi na matokeo yake kwa mwaka yaamue kufaulu au kufeli kwa mwanafunzi.
Tuwe na lugha moja ya kufundishia / medium of instruction from nursery to university.
NB: Ndalichako ni 🚮🚮 ndo anayefanya wasomi wadharaulike nchii hii, idara ya ukaguzi iboreshwe mwalimu afundishe idadi iliyokubalika, kama shule haina walimu na walimu mmewajaza mitaani hamuwaajiri kwanini tusiseme wewe ni 🚮🚮
Lastly tamisemi ndo wamiliki wa shule zote nchini nanyi ni 🚮🚮🚮mnaruhusu vipi shule ifunguliwe na hamna walimu maafisa elimu wilaya na mikoa nanyi ni 🚮🚮🚮🚮