RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda

Ndiyo maana nikasema labda hawajakamilisha nondo zao maana ndio inabidi wathibitishe bila kuacha mashaka yoyote kwamba huyo binti kalawitiwa na huyo mkuu.
Mahabusu na Magereza zimejaa watu wengi ambao nondo zao za ushahidi hazijakamilika, kuna wato wengi wako gerezani zaidi hata ya miaka mitano huku ushahidi wao ukiwa haujakamilika lakini ni mwingi kuliko hata huu wa Nawanda,
Kwa nini kwa Nawanda iwe tofauti??
 

CCM haiwezi kumshinda MUNGU
 
Lakini huyu yeye yuko nje kwa dhamana kwa maelezo ya askari polisi jana (kama nilivyosoma kwenye Mwananchi online Jana baada ya binti kuwa ameenda kueleza aliyoeleza LHRC).
 
Hivi ulawiti si ndiyo tabia za kishoga hizo? Mbona hawa wateule wa rais Samia wanaonekana ndiyo wenye kufanya na kutetea vitendo hivyo?

Hii nchi ina unafiki mwingi sana. Rais achukue hatua kwa viongozi wa namna hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabongo wanasema kwa mwanamke kuliwa kinyeo ni halali, ila wanaume ndo hapanaa.
Woiiiiih
 
Lakini huyu yeye yuko nje kwa dhamana kwa maelezo ya askari polisi jana (kama nilivyosoma kwenye Mwananchi online Jana baada ya binti kuwa ameenda kueleza aliyoeleza LHRC).
Kesi ya ulawiti haina dhamana
 
Imfikie Rais Samia Ili amtumbue, washenzi wa hivi hawatakiwi kabisa kwenye Utumishi wa Umma.
 
Unatakaa kumaanisha nn hapaa? Mbona km hujaelewekaa vilee?
 
Umewahi kula, kuliwa, kujaribu kula au kuliwa jicho ukaupata huo uzoefu ??
Sasa hapa si ndio hii kesi ingepelekwa mahakamani ili wataalamu mbalimbali waliojaribu kula au kuliwa jicho waileze mahakama ugumu wake ili kumnasua Nawanda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Achana upenzi, hujawahi kusikia kesi ya mtu kumlawiti mkewe wa ndoa?
Hebu nisaidie...
Inawezekana nimepitwa na maeezo ya awali ya huyu binti. Nilisikia kwamba amelawitiwa akiwa club. Je alizibwa mdomo? Hakuweza hata kujinasua?
Maswali ni mengi
 
Hebu nisaidie...
Inawezekana nimepitwa na maeezo ya awali ya huyu binti. Nilisikia kwamba amelawitiwa akiwa club. Je alizibwa mdomo? Hakuweza hata kujinasua?
Maswali ni mengi
Hii case kwa kuitazama tyuuh unajua wazi, kuna misunderstanding baina ya wahusika, kuna makubaliano yalikiukwa. Ndo huyo binti kaamua kumchoma RC wa watu. Lol.
 
Huyu Binti mpaka anafanya media tour hivi basi kuna kitu kinatafutwa nyuma yake.

Mana kitendo cha aibu kama hicho mtu huwezi kutoka hadharani na kuongea ulichofanyiwa tena na radio changa kama hiyo crown

Kuna kitu nyuma yake .Amini kwamba
Hata mimi nilijiuliza hivyo, kwamba hiyo courage inatoka wapi? Anyway, kama ni kweli alifanyiwa hivyo na ana hiyo courage, basi nampongeza maana si wengi wanaweza kufanya hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…