RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda

Wewe ulisikia kabakwa?

Huyo binti ni muongo, atalawitiwa bila kupenda bila kubakwa?

Wewe ushalawitiwa bila kupenda?
Yale mazingira, public parking, obviously ni ubakaji! Kwa Hali ya kawaida, msomi wa kiwango cha PhD, kiongozi mkubwa wa serikali hawezi kufanya mapenzi katika mazingira yale zaidi ya ubakaji unless utimamu wake una walakini. And why wanafanya kila juhudi kujaribu kuizima hii kesi? Si aende mahakamani akasafishwe?
 
Hivi ulawiti si ndiyo tabia za kishoga hizo? Mbona hawa wateule wa rais Samia wanaonekana ndiyo wenye kufanya na kutetea vitendo hivyo?

Hii nchi ina unafiki mwingi sana. Rais achukue hatua kwa viongozi wa namna hii
Ulawiti/ufiraji ni mambo yale yale ya LBGTQ. Na yapo sana Bongo japo tunayakana kwa nguvu.
 
Ushahidi wa kesi hizi na za aina hii ni zaidi ya hapo Mkuu.
(1) Material evidences
(2) Eye witnesses
(3) Expert opinions
Huwezi kuja na kundi moja tu la ushahidi na kuhitimisha kuwa upande fulani una hatia.
Siungi mkono tabia ya ulawiti ila nitakuwa wa mwisho kuafiki kinachosemwa na Binti tajwa. Yaliwahi kunikuta yanayofanana na hayo na ushahidi ulitolewa kiasi cha kuaminika ni kweli ipo hivyo.
 

Ipo hoja ya msingi hapa
 
Hakika hata kula tu kawaida, mwanamke akikaza huli.....Tena huyo ni intellectual, nasikia harufu ya kukomoana na kisasi hapo.
 
Mkuu kwasababu una idea na wizi wa Bashe basi tukutake uandike.
 
Sawa sawa kbs!
 
Tatizo Mtanda ni chekibobu sana, akiwa DC Arusha nilikuwa nakutana nae sana mtaani anakula maisha, for the lifestyle anaishi na kwa sababu kuna leo na kesho, naelewa kama anajaribu kumsaidia Kiongozi mwenzake.
 
Kufungiwa milango ya gari na kuambiwa kuna walinzi wake nje tayar kuna threats ambayo it amount to kutumia nguvu....na kosa la kuzama uani ni kosa hata liwe na consent ya victim
Ujinga huo, unaonewsha hujawahi kupanda gari. gari inayofungwa ikakataa kufunguka kwa ndani?
 
Huyo muongo tu, hana cha kulawitiwa wala kuliwa.
 
Hivi ulawiti si ndiyo tabia za kishoga hizo? Mbona hawa wateule wa rais Samia wanaonekana ndiyo wenye kufanya na kutetea vitendo hivyo?

Hii nchi ina unafiki mwingi sana. Rais achukue hatua kwa viongozi wa namna hii
Michezoyaoo madeltachalii wengii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…