Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda ocean road hospital kaone matokeo yakeHiyo Sumu mbona sisi tunaila kila siku tena tunazidi kunawiri
Aflatoxin hata huko Kenya wanaila kila siku iendayo kwa Mungu
Sasa mbona Namanga wamezuia na Holoholo wanaruhusu?Sasa unapotosha maksudi; la sivyo ni ujinga ulionao kuhusu utendaji na maamuzi ya serikali ya Kenya kuhusu jambo kama hili.
Hakuna serikali ya "county" yoyote yenye madaraka ya kuruhusu au kuzuia jambo kama hilo.Sasa mbona Namanga wamezuia na Holoholo wanaruhusu?
Tuanzie hapo
Mbona tokea Uhuru tunakula mshindi na watu ninaowajua kwenye jamii yangu ni wachache mno waliougua sarataniNenda ocean road hospital kaone matokeo yake
Mkuu hii serikali ya Matanga upepo uvumsko wapoSerikali ya ccm ni kama imechanganyikiwa, waziri amasema hili rc anakuja na lake..
Huku rais anasema korona hakuna ma waziri amasema lake..
Yani serikali imechanganyikiwa yote!!
Mbona Mzalendo BASHE kajieleza kiufundi sana - alionekana wazi wazi anaongea akiwa na facts and figures na sio kukurupuka - kwa ushahidi wa Bashe hapo Wakenya hawachomoki,kawashika pabaya mpaka wataona aibu kama kweli wana huluka ya kuona aibu.Hiki kibabu shigela siyo cha 9 kukiamini sana
Wewe ni mjinga, Hilo ndio jina zuri unastahili.Hivi kwa haya matamko yenu ya Waziri na huyo Rc bado unahoji kwanini mnachukuliwa mazoba? Wajua swali lako linaonyesha kuwa wew uko hivyo pia?
Hawa jamaa ni kama dagaa kwenye chungu kila mmoja na lake wakati chungu kina chemkaSerikali ya CCM ni kama imechanganyikiwa, waziri amasema hili RC anakuja na lake.
Huku rais anasema korona hakuna ma waziri amasema lake.
Yani serikali imechanganyikiwa yote!
Hakuna connectionHii ndio familia ya kambale baba ndevu,Mama ndevu,kaka ndevu,dada ndevu.
Maajabu hayawezi kuisha!Utadhani tuna serekali zaidi ya moja.
kwanini huyo Shigella asizingumze kwanza na naibu waziri Bashe.
Ambaye yy alikuwa on point jana?
Serikali imechanganyikiwa!Shida ni kwamba unapenda kusikia yale yanayokufurahisha tu
Halafu Shigelah yeye anasemajeNaibu waziri kwanza amekiri kuwepo na ilo katazo la kupeleka mahindi Kenya.
Lakini pili kasema hawajapata official communication kutoka Kenya/paper work.
akini tatu amedai ya kwamba migogoro kama hii inapaswa kupitia kamati husika za Jumuia ya Africa Mashariki
Hapa ndio pagumu kupata jibuTuambieni kwanza ukweli, mahindi yana sumu au hayana?
Kama huoni tatizo basi wewe ndiye tatizo.Wewe ni mjinga, Hilo ndio jina zuri unastahili.
Waziri ameenda mpaka wa namanga na kukuta mahindi yamezuiwa.
Mkuu wa mkoa wa Tanga ameenda mpaka wa horohoro amekuta mahindi yanaruhusiwa kuingia. Hapo tatizo liko wapi?
Serikali ya CCM ni kama imechanganyikiwa, waziri amasema hili RC anakuja na lake.
Huku rais anasema korona hakuna ma waziri amasema lake.
Yani serikali imechanganyikiwa yote!