Cute Wife JF-Expert Member Joined Nov 17, 2023 Posts 1,906 Reaction score 5,000 Dec 23, 2024 #1 Wakuu, Harakati za kujikomba na kulamba miguu zinazidi kupamba moto. Kenani Kihongosi ameongoza kupe wenzake kumuombea Rais Samia, taifa liwe na baraka tele. Ni mwendo wa kujiweka karibu na Rais na kusikika kadri iwezekanavyo ili usisahaulike kwenye ufalme wa bwana, teh teh ufalme wa mama😂😂. Hawakosi watu bana, mmoja akitaangaza jambo wote inabidi wajitokeze, ubaki nyuma halafu uingizwe kwenye kitabu cheusi, subutuu! Yangefanyika matembezi haya haya kuombew waliopotezwa na wasiyojulikana, ungesikia ni chonchezi, polisi wangefanya matembezi hayo badala yake. Watanzania bado tunakoroma.😴😴
Wakuu, Harakati za kujikomba na kulamba miguu zinazidi kupamba moto. Kenani Kihongosi ameongoza kupe wenzake kumuombea Rais Samia, taifa liwe na baraka tele. Ni mwendo wa kujiweka karibu na Rais na kusikika kadri iwezekanavyo ili usisahaulike kwenye ufalme wa bwana, teh teh ufalme wa mama😂😂. Hawakosi watu bana, mmoja akitaangaza jambo wote inabidi wajitokeze, ubaki nyuma halafu uingizwe kwenye kitabu cheusi, subutuu! Yangefanyika matembezi haya haya kuombew waliopotezwa na wasiyojulikana, ungesikia ni chonchezi, polisi wangefanya matembezi hayo badala yake. Watanzania bado tunakoroma.😴😴
G G4N JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 4,283 Reaction score 9,925 Dec 23, 2024 #2 Cute Wife said: Kenani Kihongosi ameongoza kupe wenzake kumuombea Rais Samia, taifa liwe na baraka tele. Click to expand... Kama Kenani ni kupe, basi Yericko Nyerere, Boni Yai, na Ntobi watakuwa ni liver flukes wa bosi wa saccos.
Cute Wife said: Kenani Kihongosi ameongoza kupe wenzake kumuombea Rais Samia, taifa liwe na baraka tele. Click to expand... Kama Kenani ni kupe, basi Yericko Nyerere, Boni Yai, na Ntobi watakuwa ni liver flukes wa bosi wa saccos.
chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Dec 23, 2024 #3 Ni moja kati ya wanasiasa bora sana nchi hii kuwapata baada ya Majaliwa na Dotto Biteko chini ya uongozi wa SSH
Ni moja kati ya wanasiasa bora sana nchi hii kuwapata baada ya Majaliwa na Dotto Biteko chini ya uongozi wa SSH
92 jerrie JF-Expert Member Joined Feb 28, 2022 Posts 7,273 Reaction score 16,705 Dec 23, 2024 #4 hahahaha maisha haya sio mchezo