Mwambieni kwamba that's well noted. Atambue kuna wanaoonglea mambo ya The Hugue hao wanaongelea kwa urefu wa kamba zao, ila kwa the other majority huo muda haupo. Yeye ndiye size yao wata deal naye vilivyo, asije akajidhania kwamba yupo salama kiasi cha kujisahau. Huenda hajatembea mitaani au hapewi taarifa za kweli, this time watu wapo serious, asije akashangaa atakaposhughulikiwa na walinzi wake mwenyewe.View attachment 1611248
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.
Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
Hatuogopi huu ndiyo wakati uliokubalika wa kuimwaga pombeView attachment 1611248
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.
Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
Bora awaambie wasije kupotezwa huko wakasema ni polisiccmView attachment 1611248
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.
Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
Mwambieni kwamba that's well noted. Atambue kuna wanaoonglea mambo ya The Hugue hao wanaongelea kwa urefu wa kamba zao, ila kwa the other majority huo muda haupo. Yeye ndiye size yao wata deal naye vilivyo, asije akajidhania kwamba yupo salama kiasi cha kujisahau. Huenda hajatembea mitaani au hapewi taarifa za kweli, this time watu wapo serious, asije akashangaa atakaposhughulikiwa na walinzi wake mwenyewe.
Watu wameshatengeneza networks zao.
Serious mtandaoni?Mwambieni kwamba that's well noted. Atambue kuna wanaoonglea mambo ya The Hugue hao wanaongelea kwa urefu wa kamba zao, ila kwa the other majority huo muda haupo. Yeye ndiye size yao wata deal naye vilivyo, asije akajidhania kwamba yupo salama kiasi cha kujisahau. Huenda hajatembea mitaani au hapewi taarifa za kweli, this time watu wapo serious, asije akashangaa atakaposhughulikiwa na walinzi wake mwenyewe.
Watu wameshatengeneza networks zao.
Mwambieni akae kwa kutulia afungie ukoo wake ndaniView attachment 1611248
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.
Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
Nakumbuka wakati wa Makinikia mlikuja na tambo bubu kama hizi kuwa tujiandae kushtakiwa MIGA....Mwambieni kwamba that's well noted. Atambue kuna wanaoonglea mambo ya The Hugue hao wanaongelea kwa urefu wa kamba zao, ila kwa the other majority huo muda haupo. Yeye ndiye size yao wata deal naye vilivyo, asije akajidhania kwamba yupo salama kiasi cha kujisahau. Huenda hajatembea mitaani au hapewi taarifa za kweli, this time watu wapo serious, asije akashangaa atakaposhughulikiwa na walinzi wake mwenyewe.
Watu wameshatengeneza networks zao.
Huyu katekwa Leo mapema na wasiojulikana..ZEC/NEC ZImeongeza Wapiga kura 2000 kila Jimbo Visiwani Zanzibar na Vituo hewa maelfu ya Vituo hewa Tanzania Bara KULINDA KURA NI LAZIMA
The Hague unaijua au unaisoma tu mitandaoni,kila jambo mnalia the Hague,angefungwa kenyatta na Ruto basiMwambieni kwamba that's well noted. Atambue kuna wanaoonglea mambo ya The Hugue hao wanaongelea kwa urefu wa kamba zao, ila kwa the other majority huo muda haupo. Yeye ndiye size yao wata deal naye vilivyo, asije akajidhania kwamba yupo salama kiasi cha kujisahau. Huenda hajatembea mitaani au hapewi taarifa za kweli, this time watu wapo serious, asije akashangaa atakaposhughulikiwa na walinzi wake mwenyewe.
Watu wameshatengeneza networks zao.