Uchaguzi 2020 RC Songwe: Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe umeiacha vizuri unaweza usirudi au ukarudi mlemavu

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535


Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.

Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
 
Mwambieni kwamba that's well noted. Atambue kuna wanaoonglea mambo ya The Hugue hao wanaongelea kwa urefu wa kamba zao, ila kwa the other majority huo muda haupo. Yeye ndiye size yao wata deal naye vilivyo, asije akajidhania kwamba yupo salama kiasi cha kujisahau. Huenda hajatembea mitaani au hapewi taarifa za kweli, this time watu wapo serious, asije akashangaa atakaposhughulikiwa na walinzi wake mwenyewe.
Watu wameshatengeneza networks zao.
 
Hatuogopi huu ndiyo wakati uliokubalika wa kuimwaga pombe
 
Bora awaambie wasije kupotezwa huko wakasema ni polisiccm
 

Kama ilivyotokea MIGA.....
Kuota ruksa
 
Serious mtandaoni?
 
Mwambieni akae kwa kutulia afungie ukoo wake ndani
 
Nakumbuka wakati wa Makinikia mlikuja na tambo bubu kama hizi kuwa tujiandae kushtakiwa MIGA....

Wazee wa kujitia hofu na kulazimisha kuambukiza wengine hofu mmeshatepeta.

Kalindeni kura siye tutalinda wake zenu huku majumbani
 
The Hague unaijua au unaisoma tu mitandaoni,kila jambo mnalia the Hague,angefungwa kenyatta na Ruto basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…