Uchaguzi 2020 RC Songwe: Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe umeiacha vizuri unaweza usirudi au ukarudi mlemavu

Uchaguzi 2020 RC Songwe: Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe umeiacha vizuri unaweza usirudi au ukarudi mlemavu

Mwambie tunaaga kweli na hati ti’s hiki. Alafu mwambie iyo kauli yake tumeshaifikisha kwa wahusika na ajiandae kuchukuliwa hatua kwa yote watakayofanyiwa wana songwe. Ushahidi umeshatumwa
View attachment 1611248

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.

Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
 
View attachment 1611248

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.

Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
Mwizi anapata wapi ujasiri wa kutisha mwenye mali? Tutapiga kura na kuzilinda, hizo kura zake fake akatafute namna nyingine ya kuzipenyeza lakini si huko kwenye vituo vya kupigia kura. Sasa basi.
 
View attachment 1611248

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.

Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"

Hao wanaolinda Kura mbona ata kwenye kiganya hawaingii brg umeanza siasa kwa njaa zako??
 
Kwa hali yeyote ile, hakuna mtu awaye yote ana haki ya kumtisha mtu yeyote ile kwa namna yeyote.

Ipo hivi, RC Kama kiongozi, anatakiwa aeleze hilo tamko lake ni kwa mujibu wa sheria ipi???

Kimsingi, mwananchi ana haki ya kufanya lolote ilomradi havunji sheria, ilhali RC anatakiwa atende kwa mujibu wa sheria na ni lazima ni wajibu, Kama kiongozi aeleze ni sheria ipi anatumia.

Mwananchi kisheria anaruhusiwa kukaa umbali wa mita 💯 kutoka polling station but not otherwise.
 
Silaha hazitolewi kwa wala chips km nyie, nyie mtapewa bando za kutukana mitandaoni tu
Nchi hii hakuna kuheshimiana mpaka uje mchakamchaka wa libya anaongea kwa kiburi kama hii ni nchi yake
Mabeberu leteni dilaha mchukue madini
 
Hawa watu wanaelekea pabaya uvumilivu una mwisho wake CCM mpo wachache sana
20201025_103627.jpg


Hahah mtakufa kwa kihoro
 
View attachment 1611248

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.

Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
Uzuri Weshajulikana watakaolinda kula Ni WAHUNI WEZI NA VIBAKA so ni Kazi rahisi sana Kwa Majeshi yetu Kuwanyooshaaa pata kipigo moja moto Moja Baridi hahahh Halafu Ushindi unatangazwa wewe UPO kwenye Sero.... na Hakikaa mtakaaa huko mieziii sitaa🤣😂🤣😂🤣😂 Mtajiita Wafungwa Wa kisiasa Halafu sisi huku Uraiani Tunaendelea na Maisha ya Kawaida.. TUNAOMBA JESHI LA POLISI LITULINDE SISI TUTAOTII SHERIA NA LIWAADHIBU HAO WANAOTAKA KUHATARISHA AMANIIII PIGAAAA SANAAA SANA😡😡😡
 
Serious mtandaoni?
Yaani hadi leo haujajua nguvu za mitandao. Mikutano ya Lissu imezuiwa kutangazwa na vituo vyote, hakuna mabango popote lakini ni hii mitandao inayokusanya watu kuliko hamasa zote zinazotolewa na chama tawala kupitiaa kila machinery.
Mitandao ingekua dhaifu unadhani serikali ingekua inahangaika kuidhibiri?
Leo hii kinakuja kimburu eti kinapuuza mitandao wakati hata chenyewe kipo radhi kiupitishe mchana bila lunch ili tu kiweze kununua MBs.
 
Kwa hali yeyote ile, hakuna mtu awaye yote ana haki ya kumtisha mtu yeyote ile kwa namna yeyote.

Ipo hivi, RC Kama kiongozi, anatakiwa aeleze hilo tamko lake ni kwa mujibu wa sheria ipi???

Kimsingi, mwananchi ana haki ya kufanya lolote ilomradi havunji sheria, ilhali RC anatakiwa atende kwa mujibu wa sheria na ni lazima ni wajibu, Kama kiongozi aeleze ni sheria ipi anatumia.

Mwananchi kisheria anaruhusiwa kukaa umbali wa mita 💯 kutoka polling station but not otherwise.

Mwananchi kisheria haruhusiwi kukaa umbali wa mita 💯 kutoka polling station
Ukiamua kukaa kuanzia mita101 hakikisha umezipima usije kuvunja sheria
 
View attachment 1611248

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.

Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
Kuna nini nyuma ya pazia?
Kwanini wana tumia muda mwingi sana na nguvu za ziada kuzuia hili la kulinda kura?
Tytajua siku hiyo maana tutakuwepo kuzilinda kura.
Kama ni mbwai na iwe mbwai. Kwani nyie mnaishi ulaya? Ua huku ukute na kwako kuna waka moto.. Tusitishane hapa..
 
Naapaa naaahidi.
Mbele za munguuu.
Tanzania nitakulindaaa.
Mpakaaa nakufaaa..
 
Uzuri Weshajulikana watakaolinda kula Ni WAHUNI WEZI NA VIBAKA so ni Kazi rahisi sana Kwa Majeshi yetu Kuwanyooshaaa pata kipigo moja moto Moja Baridi hahahh Halafu Ushindi unatangazwa wewe UPI kwenye Sero.... na Hakikaa mtakaaa huko mieziii sitaa🤣😂🤣😂🤣😂 Mtajiita Wafungwa Wa kisiasa Halafu sisi huku Uraiani Tunaendelea na Maisha ya Kawaida.. TUNAOMBA JESHI LA POLISI LITULINDE SISI TUTAOTII SHERIA NA LIWAADHIBU HAO WANAOTAKA KUHATARISHA AMANIIII PIGAAAA SANAAA SANA😡😡😡

Utii bila shurti.
Usikae mita100
Kila chama kimepewa muda wa kutosha kupeleka mawakala
 
What I know nothing Will change pre and post October 28

Magufuli Will win and normal life will proceed
RC anatetea watoto wake waendelee kupishana chooni, mwambieni anajihangaisha bure mambo yako tofauti sana. Toka lini mwizi akawa na ujasiri wa kutisha mwenye mali? Maajabu haya.
 
Back
Top Bottom