Wacheti vitisho km wafanyaji mngesubir cku tuu mkafanya mlivyodhamirisBora awaambie wasije kupotezwa huko wakasema ni polisiccm
Yuko sahihi; hii ni kuondoa kitu inaitwa voter intimidation. Kuwepo kwa makundi ya watu waliozunguka vituo vya kupigia kura kunaweza kusababisha wapiga kura wengine wakaogopa kwenda kupiga kura zao. Inabidi vituo vya kura viwe welcoming sana; viwakakikishiea wapiga kura usalama wao na kusiwe na mazingira ya kuwatisha wapiga kura.View attachment 1611248
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.
Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
Haya ndiyo tunayoyataka,baada ya hayo kipo kitakachofutaView attachment 1611248
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.
Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
Ni jambo jema kila mtu kutoa maoni na mtazamo wake katika hili.What I know nothing Will change pre and post October 28
Magufuli Will win and normal life will proceed
Kama watu walivyo serious pia na vyombo vya Ulinzi na usalama vipo serious kudeal na wasiofuata sheria.Mwambieni kwamba that's well noted. Atambue kuna wanaoonglea mambo ya The Hugue hao wanaongelea kwa urefu wa kamba zao, ila kwa the other majority huo muda haupo. Yeye ndiye size yao wata deal naye vilivyo, asije akajidhania kwamba yupo salama kiasi cha kujisahau. Huenda hajatembea mitaani au hapewi taarifa za kweli, this time watu wapo serious, asije akashangaa atakaposhughulikiwa na walinzi wake mwenyewe.
Watu wameshatengeneza networks zao.
Mwambie familia nzima tutakuwepo hapo kulinda kura. Hakuna wa kuaga... Yeye atayarishe tu risasi zake za kutosha za kuwindia sisi wanyama wake.
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.
Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
Huu ni wakati mzuri wa kuziba pengo na tundu zote zinazotaka kuiharibu TanzaniaHatuogopi huu ndiyo wakati uliokubalika wa kuimwaga pombe
Na kukiwa na changamoto ya utawala kufanya yasiyo mema, basi lawama itabidi uwape haohao wake zako ili wazifanyie kazi.Nakumbuka wakati wa Makinikia mlikuja na tambo bubu kama hizi kuwa tujiandae kushtakiwa MIGA....
Wazee wa kujitia hofu na kulazimisha kuambukiza wengine hofu mmeshatepeta.
Kalindeni kura siye tutalinda wake zenu huku majumbani
Hayo maneno kawaambie NECKama watu walivyo serious pia na vyombo vya Ulinzi na usalama vipo serious kudeal na wasiofuata sheria.
Huyo RC ni mshamba wa madalaka,huu siyo wakati wa kutisha na kuwafokea wenye Nchi,huyo RC hajui kuwa Tanzania ni Mali ya WANANCHI,Nakumbuka wakati wa Makinikia mlikuja na tambo bubu kama hizi kuwa tujiandae kushtakiwa MIGA....
Wazee wa kujitia hofu na kulazimisha kuambukiza wengine hofu mmeshatepeta.
Kalindeni kura siye tutalinda wake zenu huku majumbani
Ukimgonga vibaya nyoka huwa anakukimbizaHahah....wakati mwingine mwindaji hugeuka kuwa mwindwaji.
Mpo wachache sana jidanganyeni siku likitokea la kutokea ndio mtajua mpo kagenge kadogo sana
Mpo wachache sana jidanganyeni siku likitokea la kutokea ndio mtajua mpo kagenge kadogo sana
Kama wewe ni mwana CCM na mpo wengi weka picha yako halisi na jina halisiFanyia fujo mwanaccm ndio utajua
Kama wewe ni mwana CCM na mpo wengi weka picha yako halisi na jina halisi