RC wa Dar Chalamila: Anayekerwa na Foleni za Dar ahamie Kijijini akalime

RC wa Dar Chalamila: Anayekerwa na Foleni za Dar ahamie Kijijini akalime

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tafadhali Rais Samia ikikupendeza kwa Siku za baadae ukiwa unafanya UTEUZI wa Viongozi mbalimbali uwe unanikaribisha Mpiga Kura wao na Mwanao Kikatiba niwe nakuja kuwapima kama kuna Wavuta Bangi na labda waliowahi kuugua Uwendawazimu wakiwa Udogoni / Utotoni.

Sitokuangusha katika hili Mheshimiwa Rais Samia kwani kwa Utaalam na Uzoefu wangu wapo ambao nawaona kuwa si tu wanazivuta hizo Bangi bali pia Wanazila kama Mboga na zingine Kuzifukizia kabisa ili muda wote wawe Wananuka na Wanaongea Bangi Bangi tu kisha Kukuharibia Kiutendaji kama Boss wao Mkuu Kiuteuzi.
 
Tafadhali Rais Samia ikikupendeza kwa Siku za baadae ukiwa unafanya UTEUZI wa Viongozi mbalimbali uwe unanikaribisha Mpiga Kura wao na Mwanao Kikatiba niwe nakuja kuwapima kama kuna Wavuta Bangi na labda waliowahi kuugua Uwendawazimu wakiwa Udogoni / Utotoni.

Sitokuangusha katika hili Mheshimiwa Rais Samia kwani kwa Utaalam na Uzoefu wangu wapo ambao nawaona kuwa si tu wanazivuta hizo Bangi bali pia Wanazila kama Mboga na zingine Kuzifukizia kabisa ili muda wote wawe Wananuka na Wanaongea Bangi Bangi tu kisha Kukuharibia Kiutendaji kama Boss wao Mkuu Kiuteuzi.
Ina maana wote wanaolima vijijini wamechoshwa na foleni za Dsm??
Ebu kamuulize yeye kuja kuishi Dsm kakimbia Ulanzi au kakimbia chaDog kwao huko? Wakati mwingine kiongozi pima maneno yako kabla ya kuongea
 
Huyu na mwenzie MWIGULU midomo waliyopewa ni Kwa ajili ya Kula tuu

Hawastahili hata kupewa nafasi yakuzungumza maana Wana maneno machafu na dharau nyingi sana
 
Tafadhali Rais Samia ikikupendeza kwa Siku za baadae ukiwa unafanya UTEUZI wa Viongozi mbalimbali uwe unanikaribisha Mpiga Kura wao na Mwanao Kikatiba niwe nakuja kuwapima kama kuna Wavuta Bangi na labda waliowahi kuugua Uwendawazimu wakiwa Udogoni / Utotoni.

Sitokuangusha katika hili Mheshimiwa Rais Samia kwani kwa Utaalam na Uzoefu wangu wapo ambao nawaona kuwa si tu wanazivuta hizo Bangi bali pia Wanazila kama Mboga na zingine Kuzifukizia kabisa ili muda wote wawe Wananuka na Wanaongea Bangi Bangi tu kisha Kukuharibia Kiutendaji kama Boss wao Mkuu Kiuteuzi.
Chalamila ni mshamba mmoja ambaye akipata madaraka huwa hakawii KUKENGEUKA. Kwanza kwa background yake ni mtu anazaliwa kijiji cha Malangali. Akapata kubahatika kusoma Chuo Kikuu na kuingia CCM.

Tulimuona matamko yake ya kifedhuli akiwa RC Mbeya na Mwanza na kisha akawekwa bench na Samia.

Baadaye kuna watu wakamuombea tena kwa Samia, akarudi kama RC Kagera kisha Dar.

Alipokuwa bench alianza kufulia na kupauka hadi kuanza kurekodi nyimbo za Injili na kuzisambaza kama akina Gosbert Goodluck au Boni Mwaitege.

Anajisahau sana kwa kauli za KIFEDHULI lakini siku yake yaja
 
Chalamila ni mshamba mmoja ambaye akipata madaraka huwa hakawii KUKENGEUKA. Kwanza kwa background yake ni mtu anazaliwa kijiji cha Malangali. Akapata kubahatika kusoma Chuo Kikuu na kuingia CCM.

Tulimuona matamko yake ya kifedhuli akiwa RC Mbeya na Mwanza na kisha akawekwa bench na Samia.

Baadaye kuna watu wakamuombea tena kwa Samia, akarudi kama RC Kagera kisha Dar.

Alipokuwa bench alianza kufulia na kupauka hadi kuanza kurekodi nyimbo za Injili na kuzisambaza kama akina Gosbert Goodluck au Boni Mwaitege.

Anajisahau sana kwa kauli za KIFEDHULI lakini siku yake yaja
Chalamila ni mshamba mmoja ambaye akipata madaraka huwa hakawii KUKENGEUKA. Kwanza kwa background yake ni mtu anazaliwa kijiji cha Malangali. Akapata kubahatika kusoma Chuo Kikuu na kuingia CCM.

Tulimuona matamko yake ya kifedhuli akiwa RC Mbeya na Mwanza na kisha akawekwa bench na Samia.

Baadaye kuna watu wakamuombea tena kwa Samia, akarudi kama RC Kagera kisha Dar.

Alipokuwa bench alianza kufulia na kupauka hadi kuanza kurekodi nyimbo za Injili na kuzisambaza kama akina Gosbert Goodluck au Boni Mwaitege.

Anajisahau sana kwa kauli za KIFEDHULI lakini siku yake yaja
Mkuu nje ya Mada kidogo

Huyo mwamba kwenye avatar yuko wapi Kwa sasa😁
 
Kuna kichaa mwingine aliwahi kiwaambia wananchi wa Kigamboni kuwa asiye na nauli ya pantoni apige mbizi.!

Ila utawala wowote Ili u balance inabidi uwe na mchanganyiko wa akili za watu.
 
Upo sahihi Mkuu.

VIONGOZI WANAZINGUA SANA NA MATAMKO YAO YA AJABU.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom