GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ina maana wote wanaolima vijijini wamechoshwa na foleni za Dsm??Tafadhali Rais Samia ikikupendeza kwa Siku za baadae ukiwa unafanya UTEUZI wa Viongozi mbalimbali uwe unanikaribisha Mpiga Kura wao na Mwanao Kikatiba niwe nakuja kuwapima kama kuna Wavuta Bangi na labda waliowahi kuugua Uwendawazimu wakiwa Udogoni / Utotoni.
Sitokuangusha katika hili Mheshimiwa Rais Samia kwani kwa Utaalam na Uzoefu wangu wapo ambao nawaona kuwa si tu wanazivuta hizo Bangi bali pia Wanazila kama Mboga na zingine Kuzifukizia kabisa ili muda wote wawe Wananuka na Wanaongea Bangi Bangi tu kisha Kukuharibia Kiutendaji kama Boss wao Mkuu Kiuteuzi.
Akipimwa Akili na majibu yakitoka kuwa ni mzima ( yuko sawa Kichwani ) nitaachia Haja Kubwa ( Nitaukweka ) mubashara mchana kweupe kutoka Tegeta Nyuki hadi Mbagala Rangi Tatu.Huyu jamaa tunamwangalia tu.
Siku yake ipo.
He must be a Mental Case.Ina maana wote wanaolima vijijini wamechoshwa na foleni za Dsm??
Ebu kamuulize yeye kuja kuishi Dsm kakimbia Ulanzi au kakimbia chaDog kwao huko? Wakati mwingine kiongozi pima maneno yako kabla ya kuongea
Ni Mental Case huyo.Huyu Rc litamkuta jambo ashakuwa kama wasanii kupenda kiki, kutrend.
AnavutaAngetumia bangi angewehuka, anachofanya ni uropokaji
Hapo washirika wake wajitahidi kumpunguzia doziAnavuta
Wamchukulie hatua anaongoza kihuni huni sanaNi Mental Case huyo.
Chalamila ni mshamba mmoja ambaye akipata madaraka huwa hakawii KUKENGEUKA. Kwanza kwa background yake ni mtu anazaliwa kijiji cha Malangali. Akapata kubahatika kusoma Chuo Kikuu na kuingia CCM.Tafadhali Rais Samia ikikupendeza kwa Siku za baadae ukiwa unafanya UTEUZI wa Viongozi mbalimbali uwe unanikaribisha Mpiga Kura wao na Mwanao Kikatiba niwe nakuja kuwapima kama kuna Wavuta Bangi na labda waliowahi kuugua Uwendawazimu wakiwa Udogoni / Utotoni.
Sitokuangusha katika hili Mheshimiwa Rais Samia kwani kwa Utaalam na Uzoefu wangu wapo ambao nawaona kuwa si tu wanazivuta hizo Bangi bali pia Wanazila kama Mboga na zingine Kuzifukizia kabisa ili muda wote wawe Wananuka na Wanaongea Bangi Bangi tu kisha Kukuharibia Kiutendaji kama Boss wao Mkuu Kiuteuzi.
Chalamila ni mshamba mmoja ambaye akipata madaraka huwa hakawii KUKENGEUKA. Kwanza kwa background yake ni mtu anazaliwa kijiji cha Malangali. Akapata kubahatika kusoma Chuo Kikuu na kuingia CCM.
Tulimuona matamko yake ya kifedhuli akiwa RC Mbeya na Mwanza na kisha akawekwa bench na Samia.
Baadaye kuna watu wakamuombea tena kwa Samia, akarudi kama RC Kagera kisha Dar.
Alipokuwa bench alianza kufulia na kupauka hadi kuanza kurekodi nyimbo za Injili na kuzisambaza kama akina Gosbert Goodluck au Boni Mwaitege.
Anajisahau sana kwa kauli za KIFEDHULI lakini siku yake yaja
Mkuu nje ya Mada kidogoChalamila ni mshamba mmoja ambaye akipata madaraka huwa hakawii KUKENGEUKA. Kwanza kwa background yake ni mtu anazaliwa kijiji cha Malangali. Akapata kubahatika kusoma Chuo Kikuu na kuingia CCM.
Tulimuona matamko yake ya kifedhuli akiwa RC Mbeya na Mwanza na kisha akawekwa bench na Samia.
Baadaye kuna watu wakamuombea tena kwa Samia, akarudi kama RC Kagera kisha Dar.
Alipokuwa bench alianza kufulia na kupauka hadi kuanza kurekodi nyimbo za Injili na kuzisambaza kama akina Gosbert Goodluck au Boni Mwaitege.
Anajisahau sana kwa kauli za KIFEDHULI lakini siku yake yaja