GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Halafu eti alikuwa Lecturer pale Ruaha University!! Huyu mtu mwenye kichwa kama kiazi mbatata!! Hana kitu kichwaniNa kilichoniumiza zaidi baada ya kutoa Boko hilo ni kwamba kila mara nimekuwa nikikusikia ukisema (tena ukitamba) kuwa una Masters Degree (Shahada ya Uzamili) na kwamba ulishakuwa Mkufunzi (Teaching / Tutorial Assistant) na kusema pia kuwa una Exposure Kubwa na hata huko Ulaya / Marekani umeshatembea sana ila sijajua ni kwanini umeongea Broken English kama hiyo ya kusema (ukimwambia Mtu) katika Hafla uliyoalikwa kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwa Thank you for Organization the Event badala ya Thank for you for Organizing this event.
Kazi ipo......!!!!!!!!
Hajakosea, ni kwamba hajui hiyo lugha.Mkuu kukosea ni sehemu ya kujifunza, lugha za watu hizi.
Kadhi Mkuu nikikuambia Mbowe naye anachapia utakubali?Hajakosea, ni kwamba hajui hiyo lugha.
Ila kuna watu wanatia HURUMA sana
Nani amekwambia kujua kingereza ni kipimo Cha akili? Watching hawajui kingereza lakini Angelia mambo yaoHalafu eti alikuwa Lecturer pale Ruaha University!! Huyu mtu mwenye kichwa kama kiazi mbatata!! Hana kitu kichwani
[emoji3][emoji3][emoji3]Sasa RC ana uso kama mende, halafu utarajie la maana kutoka kwake? [emoji848]
Master degree ni Shahada ya Umahiri sio Shahada ya Uzamili. Ila Master degree ni moja wapo yaNa kilichoniumiza zaidi baada ya kutoa Boko hilo ni kwamba kila mara nimekuwa nikikusikia ukisema (tena ukitamba) kuwa una Masters Degree (Shahada ya Uzamili) na kwamba ulishakuwa Mkufunzi (Teaching / Tutorial Assistant) na kusema pia kuwa una Exposure Kubwa na hata huko Ulaya / Marekani umeshatembea sana ila sijajua ni kwanini umeongea Broken English kama hiyo ya kusema (ukimwambia Mtu) katika Hafla uliyoalikwa kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwa Thank you for Organization the Event badala ya Thank for you for Organizing this event.
Kazi ipo......!!!!!!!!
Usijifiche kwenye kichaka cha Watching (sijui ulimaanisha "Wachina"). Kama na wewe ubaongea broken English jitambue ni KAUZU tu kama RC ChalamilaNani amekwambia kujua kingereza ni kipimo Cha akili? Watching hawajui kingereza lakini Angelia mambo yao