RC wa Dar es Salaam Albert Chalamila hakuna Kiingereza cha Thank you for Organization bali kuna Kiingereza sahihi cha Thank you for Organizing

RC wa Dar es Salaam Albert Chalamila hakuna Kiingereza cha Thank you for Organization bali kuna Kiingereza sahihi cha Thank you for Organizing

Na kilichoniumiza zaidi baada ya kutoa Boko hilo ni kwamba kila mara nimekuwa nikikusikia ukisema (tena ukitamba) kuwa una Masters Degree (Shahada ya Uzamili) na kwamba ulishakuwa Mkufunzi (Teaching / Tutorial Assistant) na kusema pia kuwa una Exposure Kubwa na hata huko Ulaya / Marekani umeshatembea sana ila sijajua ni kwanini umeongea Broken English kama hiyo ya kusema (ukimwambia Mtu) katika Hafla uliyoalikwa kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwa Thank you for Organization the Event badala ya Thank for you for Organizing this event.

Kazi ipo......!!!!!!!!
Hivi mbona mnaleta topic za ajabu ajabu. Kwani kukosea lugha kuna kipi cha ajabu. Kiswahili chenyewe kuna wakati watu wanakosea sembuse kiingereza. Yaani topic hii haina mashiko. Halafu sijui kwa nini baadhi ya Watanzania wanavitabia vya ovyo ovyo kumcheka mtu akikosea kutamka maneno ya kiingereza. Tuachane na huu upumbavu.
 
Hivi mbona mnaleta topic za ajabu ajabu. Kwani kukosea lugha kuna kipi cha ajabu. Kiswahili chenyewe kuna wakati watu wanakosea sembuse kiingereza. Yaani topic hii haina mashiko. Halafu sijui kwa nini baadhi ya Watanzania wanavitabia vya ovyo ovyo kumcheka mtu akikosea kutamka maneno ya kiingereza. Tuachane na huu upumbavu.
Kwani hiyo event ilikua ni lazma uongee kizungu?

Mnakua kama hamna lugha zenu!

Bora tuchapie sie tunaojifunza sio hao wenye degree mbili na kuendelea.
 
Hivi mbona mnaleta topic za ajabu ajabu. Kwani kukosea lugha kuna kipi cha ajabu. Kiswahili chenyewe kuna wakati watu wanakosea sembuse kiingereza. Yaani topic hii haina mashiko. Halafu sijui kwa nini baadhi ya Watanzania wanavitabia vya ovyo ovyo kumcheka mtu akikosea kutamka maneno ya kiingereza. Tuachane na huu upumbavu.
Ingekuwa topic haina mashiko basi usingechangia. Na inaendelea mpaka tuwatambue vilaza wote wasiojuwa English kama wewe Wamundemu
 
Wabongo mnamaindi vitu vidogovidogo. Au kwasababu mkimaindi mambo makubwa hawawi responsive?
Mara ngapi Kiswahili mnakosea kosea na hata lugha za makabila yenu mnazikosea na wengine mnaona hata aibu kuziongea lakini hamna nongwa?
 
Bwana Genta mbona na wewe unasema thank for you for organizing this event. Kwani ukisema thank you for organizing this event unapungukiwa na nini.
Huoni kuwa hizo 'for for' zisizo na msingi zinakula muda?

Muda ni mali bhana.
 
Usijifiche kwenye kichaka cha Watching (sijui ulimaanisha "Wachina"). Kama na wewe ubaongea broken English jitambue ni KAUZU tu kama RC Chalamila
Nilimaanisha wachina mkuu.Lakini na Wewe "ubaongea" maana yake nini? Acha mihemko mkuu
 
Master degree ni Shahada ya Umahiri sio Shahada ya Uzamili. Ila Master degree ni moja wapo ya
Shahada za uzamili.
Shahada ya Kwanza (Bachelor Degree)

Shahada ya Uzamili (Masters Degree)

Shahada ya Uzamivu (Doctorate)

Huna Akili.
 
Bwana Genta mbona na wewe unasema thank for you for organizing this event. Kwani ukisema thank you for organizing this event unapungukiwa na nini.
Huoni kuwa hizo 'for for' zisizo na msingi zinakula muda?

Muda ni mali bhana.
Stupid.
 
Back
Top Bottom