RC wa Kagera Apiga Marufuku Kuishangilia Simba

RC wa Kagera Apiga Marufuku Kuishangilia Simba

Ninamsapoti sana huyo Mkuu wa Mkoa na hata ikiwezekana ushindi upatikane hata kwa goli la mkono.
 
Ni ni kweli watu hawajavaa jezi za Simba.

Ona watu wa Kagera wanavyompenda mkuu wa mkoa wao.

Simba punguzeni kupaniki .mtajifunga tena
FB_IMG_15694988442227524.jpeg
View attachment 1216494
FB_IMG_15694988494805550.jpeg
 
nafikiri kwa kufanya hivyo maendeleo ya kagera yatakua kwa kasi kubwa
 
Kuna mabint wala ndiz wanaonesha wananyege kweli kweli, nmemiss sana kipande hichoo!! watoto n wakalimu, wapole, hawapend mwanaume apate taabu!
 
Kama kiongozi wa mkoa huo ni wajibu wake na yupo sahihi
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Michael Gaguti, amepiga marufuku wananchi wa mkoa wake kuishangilia Simba, pindi itaposhuka uwanjani leo kuvaana na Kagera Sugar.

Gaguti amefikia hatua hiyo akiwa na lengo la kuanzisha kampeni ya kuwahamasisha wananchi kuipenda timu yao na kuisapoti pindi itakapokuwa ikicheza na timu kubwa katika michezo yote ya ligi kuu msimu huu.

Kagera itakuwa katika Uwanja wa Kaitaba, kuvaana na Simba, ikiwa ni Mara ya kwanza timu hizo zinakutana msimu huu.
Akizungumzia hatua hiyo Gaguti alisema: “Umefikia wakati wa watu wa Mkoa wangu wa Kagera kuungana na kuisapoti timu yetu inapocheza na timu yoyote katika Uwanja wa Kaitaba na hatua hiyo inaanza kesho (leo) pindi Kagera Sugar itakapocheza na Simba, mkiwa huko pembeni shangilieni hizo timu zenu, ila hapa wote tunaishangilia Kagera Sugar.”

Kwa upande wa Meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu amesisitiza wamejipanga kushinda mchezo huo na wala hawana mchecheto wowote.
 
Yupo sahihi kabisa na huu ujinga upo Tnzania tuu. Huwezi kuukuta spain, italy ,uingereza wala ujerumani. Timu ya nyumbani inapocheza wazawa wote wanaisapoti. Sasa huku bongo unakuta eti limtu linaihujumu timu ya mkoani kwake kabisa tena watoto wake ndio wanaichezea linashiriki fitna eti simba au yanga ishinde au kwa kutaka sifa lenyewe ndio linaongoza kuchangia timu hizo mbili ambazo ndio janga la taifa zilizochangia hata kutuletea umasikini na kuacha kuichangia timu ya nyumbani ambayo unakuta mtu mmoja ndio anapambana kama alliance ya mwanza bwana bwire peke yake!!!!??
 
Sababu simba inaonekana kuikamia kagera sugar badala ya kuikamia mashujaa ya kigoma au wale mashujaa wa kijani
Iyo kampen itakua endelevu au kwa sababu wanacheza n Mabigwa wa Nchi
 
Kwa hiyo goli lilipoingia uwanja wote ulibaki kimya kutii amri ya RC?
 
Hivi karibuni, mwenzetu An Eagle alianika 'upuuzi' ambao RC huyo amekuwa akiufanya dhidi ya Simba, ila watu wakaishia kumtolea povu mleta uzi ule, An Eagle , jambo lililonisikitisha sana. Ila An Eagle alikuwa sahihi sana katika maelezo yake.

Watu huwa wananichukulia poa hapa ila taratibu wataanza Kunielewa. Na nilisema kuwa kwa ' Uchawi ' wa Kufuru tulioufanya leo na Maandalizi tuliyafanya leo Kagera Sugar watajuta Kutujua na hapo zipo goli 3 au 4 hadi mwisho.
 
Back
Top Bottom