RC wa Kagera, Chalamila asema Ng'ombe wanaofugwa kwa stress wana nyama ngumu

RC wa Kagera, Chalamila asema Ng'ombe wanaofugwa kwa stress wana nyama ngumu

Amekaririshwa! Kwenye mnyororo wa thamani wa nyama, kuna kuwatembeza ng'ombe mwendo mrefu au muda mrefu ili kuyafanya mafuta yasambae kwenye minofu. Ukiwalisha chakula kizuri tu bila kuwatembeza watakuwa mafuta mengi badala ya nyama yenyewe. Hivyo asilimia kubwa utaitupa kwa vile itakulazimu kuyakwangua hayo mafuta.
 
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amewataka wadau wa mifugo kutoa elimu ya ufugaji bora kwa wafugaji ili kuwawezesha kufanya ufugaji wa kisasa ambao utaepusha ng'ombe kutembea umbali mrefu kutafuta malisho na kusababisha nyama yake kuwa ngumu

Akizungumza wakati wa kufunga maonyesho ya wakulima - Nanenane - Mkuu huyo wa Mkoa amesema kuwa ili kuhakikisha inapatikana nyama laini na yenye soko lazima elimu itolewe kwa jamii kuanzia ngazi za chini hadi za juu.

"Jamii iache kufunga ng'ombe kwa stress, ng'ombe anatembea kutoka pori la Karagwe hadi Ngara, kesho wamchinje lazima nyama yake iwe ngumu," amesema Chalamila.
Hapa amesema kweli, ila pia ng'ombe akichinjwa violently, kuna enzayme za hasira zinaingia kwenye blood stream na kuishia kwenye nyama, mlaji wa hiyo nyama anaiingiza mwilini na unakuwa violent!. Angalia makabila ya wafugaji walivyo violent!. Angalia wanyama wala nyama compared to wanyama wala majani!. Angalia vegetarians walivyo cool compated to wala red meat.

Wenzetu wazungu kabla nyama haijachinjwà anakuwa sadated kwa kulambishwa sukari guru, kisha brain ina stopishwa kwanza, to cut communicatins zote, ndipo anachinjwa bila kusikia maumivu, hivyo hizo enzaymes za hasira hazipo!.
P
 
Back
Top Bottom