Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
[emoji38][emoji38][emoji38]Upumbavu upi ?
Mbona wewe ni shabiki wa vita urusi na ukrain na ukisikia fulani wamekufa unashangilia.
Ukiwa unawatukana wenzako jiangalie nyumaView attachment 2532928
Yeye hajakataa hatakufa. Ni kuwa hawa pamoja na Magufuli walizan wataish milele kwa kuwaonea wengine kwa kuwatesa na kuwaua. Umeona tofauti ilipo ?Ata ww pia utakufa
Sasa wewe ulitaka umuelewe?Chadema vichwani ni upopo sana Leo nimemsikiliza lema DW Swahili dah hovyo kabisa
Yes/No ,kisa wewe huna ndugu waliopotea, kubambikiwa kesi au kuuliwa ndio maana unaona sawa, elewa hadi muda huu kuna familia hazina closure kuhusu what's kiliwatokea wapendwa wao,huyu mamluki eti naye atazikwa kwa imani zake wakati hakuuishi maisha ya kumpendeza Allah, kwangu ni mtu katili na karma umelipa,always muda na history ni mwamuzi wa haki, bila shaka atakwenda kujumuika kwenye ile address, na LNG nyingine ipo njiani kupelekwa kwenye address hiyoUsihishi na chuki kisa siasa Samehe move on
Huyu hakua mtu, mtu lazima ana Soni za kiutu, huwezi kuswaga watu ndani kwa political ideology, aanze kuungua kuanzia hapaSasa zimekufnya uwe mpumbavu sana wewe mwanamke,sasa kifo cha mtu nichakufurahia kwa masrahi yako ya siasa?
Apumzike Kwa hukumu stahikiView attachment 2532832
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia .
Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana .
Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya , ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula .
Apumzike kwa Amani , Amina
RCO-Regional Crime OfficerRCO,RTO virefu vyake nn
Wengine wanasema RCO - nI Regional Criminal OfficerRCO-Regional Crime Officer
RTO-Regional Traffic Officer
Nani alikudanganya kwamba kuombewa kunasaidia mtu kwenda kuzimu? Matendo yako ukiwa hai ndiyo tiketi ya kwenda motoni au peponi nothing else. Kama alikuwa anatesa wenzake, kuwafunga kwa hila au rushwa ya cheo ili kuifurahisha dunia ajiandae tuu kwa matendo yake, atavuna alichokipanda.Hili pumbavu mtu kajifia zake huko badala kumuombea kheri ya kuzimu linaleta mambo ya Chadema tena.
Inahusiana nini na kifo chake we mtu wa ajabu kabisa
Acheni kujidanganya, marehemu hupumzika kutokana na amali zake nzuri alizokusanya wakati wa uhai wake.Marehemu hasemwi vibaya. Apumzike kwa amani, Amina
Afadhali ameenda chuo cha mafunzo ya haki na utu akajifunze na apande cheo hadi IGP wa malaika
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.
Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.
Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.
Apumzike kwa Amani, Amina