Re; bei ya mahindi/ karanga

Re; bei ya mahindi/ karanga

CHE GUEVARA-II

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2010
Posts
571
Reaction score
156
Habari zenu wadau?
Naomba msaada wenu.

Ni sehemu zipi kwa mikoa ya Rukwa(mfano Mpanda n.k) na Tabora nitapata mazao yafuatayo:
Mahindi: Debe moja (ndoo ya lita 20) - kwa bei isiyozidi sh.2,500/=
Karanga: Debe moja (ndoo ya lita 20) - kwa bei isiyozidi sh. 2,000/=
 
Kwa mahindi nenda swanga,ila 2500 utauwa wakulima!Ila uende kuanzia mwezi 6/7.


all the best angalau unawahakikishia wakulima soko la ndani!
 
Swanga nd'o wapi mkuu? Wanauzaje? Barabara zinafika? Nataka niwatoe kimtindo wakulima wetu.
 
Back
Top Bottom