Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
Mkuu wangu Frank, hayo ni makosa ya regulatory board, ukaguzi wa shule (unaokufa) aina ya walimu waliopo jatika shule hizi wanatoa notes zao kwenye ma abbot,ma nelkon wanaona hayo ndo wanayopenda wazazi, kama kule kijijini mginjwa akienda hosp asipochomwa sindano. Kazi ipo.