Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
Hiyo Mitaala ni formality tuu Mkuu,but ukifanya uchunguzi nini kinachofundishwa huko ndio utajua ninachoongea,kwanza Vitabu vile vya Ithibati na Mazoezi wanavyotumia ni tofauti kabisa na vile vya Serikali,wengi wanatumia Vitabu vya Mitaala ya India na Kenya,sasa hapa Mtoto huyo huyo aje kufanya Mtihani mmoja na watoto wa Shule za St. Kayumba,what did you expect?. Kwenye swala la lugha tuu kiukweli wapo vizuri,kama the Chair,the Table hapo watoto wa Kayumba watasubiri sana but kwenye General knowledge watasubiri sana dhidi ya Watoto wa Kayumba.
mpeleke shule za kayumba awe anapumzika huko hakunaga ma hworks ni vishert kwa kwenda mbele kazi ni kumpa mfagio na dumu la maji
asikudanganye mtu nchi nyingi za kiafrika elimu yetu ni ya kukalili tu wewe huwezi kusoma masomo kumi na moja na ukaelewa yote
kama mtoto hafanyi home works kibongobongo hawezi toka kumbuka watoto hawana muda wa kujosomea kiumri na kiakiri kulingana na umri wao wa michezo
kama unabisha fanya haya
nenda shuleni kwao uwaambie walimu wasimpe mtoto homeworks then usimwambie kusoma uone :wanamichezo mia kwa siku hawa jamaa
Mi wa kwangu anaenda shule saa 2 hadi 5 na nusu au 6 kesharudi. Na homeworks wanapewa Fri hadi Fri. Huyo wa nursery.
Na nijuavyo mimi hao wanochelewa kurudi wanakula na kulala huko huko shuleni. Wanacheza pia.
Hizi Shule ni pasua kichwa kabisa na nadhani ni Msiba na Janga jingine kwenye mfumo wa Elimu yetu hapa Tanzania. Kwanza masomo wanayofundishwa utakuta hayaendani na level yao ya kidarasa na kiakili,imagine Mtoto wa STD five ameshasoma na kumaliza ile Topic ya Reproduction ya form three sasa sijui hapa kuna faida gani?. Pili hizi shule kwa outings za kwenda sijui Beach na Mbugani ndio zinaongoza. Tatu watoto kupewa H/W zilizo juu ya uwezo wao,utakuta Mtoto amepewa H/W ya masomo 3 na zote hazipungui uchache wa maswali 20 kwa kila somo na kilichoniacha hoi ni pale Mtoto alipopewa H/W ya swali moja then jibu la hilo swali alirudie kuliandika mara Mia Moja,sasa hapa ni kumfundisha Mtoto au kumkomoa?
Mimi nashauri Serikali iingilie kati kwa hili hasa kuhusu Mitaala wanayotumia hawa watu,kwanza utakuta Shule inafundisha Asilimia 95 kwa kutumia lugha ya Kiingereza na Kifaransa,wakati kwenye Mitihani ya Taifa i.e STD na Seven lugha inayotumika kwa Asilimia 95
Acha ujinga wewe,Watoto kuwa overloaded na H/W na masomo kuliko saizi yao na kusoma hizo shule za English Medium ndio mfumo wa Elimu kukua?hizi zero zinazongezeka kila Mwaka kwa form 4 na watoto kwenda Form One pasipokujua kusoma wala kuandika ndio mfumo wa Elimu unakua?mbona hizo English Medium haziongozi au kufanya vizuri kwenye Mitihani ya Taifa ya Darasa la Saba zinazidiwa na Shule za St.Kayumba.