Re. Kiingereza..na dada zetu wa ki tz

sarikoki

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
1,194
Reaction score
721
Nimegundua dada zetu wa ki Tz wanavutiwa sana na wanaume wanoongea Kiingereza...haijalishi wa nchi gani.
Pia huwa ni vigumu kukataa kama wakitongozwa kwa kidhungu.... ndo maana wakaka wa kikenya wanatumalizia dada zetu... mfano hai ni wadada wengi wanaofanya kazi ofisi moja na wakaka wakenya eti nao wana lafudhi ya kikenya kwenye kiinglish chao...au kama kuna mgeni ambaye hajui kiswahili ofisini basi utakuta anajistorisha na huyo mkaka kwa kizungu kwa sauti alafu utakuta anacheka hata kama kitu hakichekeshi.
 
Naaaaaam.................
AAaaaaaaiseeeeeeeeeeeee.......
Na sisi tunaongea kifaransa, na ki-congoman inakuaje....?
 
inglis ni credit now days....ushamba tu hawana lolote....
 
true................tena kwa kiingereza unaweza kupewa mzigo bila malipo
 
so i havv to len inglish to get ze galz. let me luk fo mai inglish ticha :wink:

EDIT: Boflo r u spikin from xpiriansi?
 
Hahaha! Umenichekesha sana aisee. Ila kutongozwa kwa kiswahili fasaha nayo nahisi ni very awkward flani hivi?
 
I like the guy who is maltilingual but that can not be a motivating fator to fall on him but only an added advantage.
 
hao ni limbukeni! anapendwa kwa hekima zake sio lugha.
 
lugha kama ya kifaransa imekaa utamu kweli kutongozea
 
Usilolijua litakusumbua, wangejua wakenya hawajui kiingereza wala kiswahili bali lugha za makabila yao wala wasingejidhalilisha hivyo. Wangejua ukweli kuhusu hali za maisha hasa kwa watu wa kawaida huko Kenya wala wasingepoteza muda wao. Wenzenu wakitoka huko na kuja Bongo wanaona wako peponi ikilinganishwa na kwao ambapo wezi wachache wamekomba kila kitu. Wangewachunguza wanavyoogopa hata kununuliana bia na vitu vingine vidogo wangeachana na kamradi hako ka hasara na aibu. Kiiingereza mbona ni lugha kama nyingine sema tofauti yake ni kwamba inaongelewa na watu wengi duniani?
 
Any entertaining, adoring and loving lady in lieu of a tranquil deluxe night out here at JF?
 
I like the guy who is maltilingual but that can not be a motivating fator to fall on him but only an added advantage.

if you like a multi lingual then edit your comment!
 
Kumtongoza mwanamke ni 'timing' tu..
Sio lazima kujua kiingereza, kiswahili,,n.k.
Kikubwa mpangilio wa 'verses' zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…