The last don
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 1,053
- 1,232
Duh!...tehetehehteh!....mkuu asante sana naona kidhungu hapo ndio kimecottonfire kabisa.NAPENDELEA CHIPS ZILIZOKONFYUZIWA NA MAYAI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!...tehetehehteh!....mkuu asante sana naona kidhungu hapo ndio kimecottonfire kabisa.NAPENDELEA CHIPS ZILIZOKONFYUZIWA NA MAYAI
Any entertaining, adoring and loving lady in lieu of a tranquil deluxe night out here at JF?
washamba kweli....mi nafanya kazi na wachina....nikiongea kiswahili kama kichina....nikicheka ni kichina tupu....nikitembea ndo utadhani shaolin....nini kizungu bana....
The Dadaz ought to emancipate themselves from mental slavery. Au wanaiangalia kwamba kidhungu equals money in the pockets. Lakini Boflo kasema hata waeza maliza mambo bila malipo.Nimegundua dada zetu wa ki Tz wanavutiwa sana na wanaume wanoongea Kiingereza...haijalishi wa nchi gani.
Pia huwa ni vigumu kukataa kama wakitongozwa kwa kidhungu.... ndo maana wakaka wa kikenya wanatumalizia dada zetu... mfano hai ni wadada wengi wanaofanya kazi ofisi moja na wakaka wakenya eti nao wana lafudhi ya kikenya kwenye kiinglish chao...au kama kuna mgeni ambaye hajui kiswahili ofisini basi utakuta anajistorisha na huyo mkaka kwa kizungu kwa sauti alafu utakuta anacheka hata kama kitu
hakichekeshi.
Mi nikiongeaga kidhungu dk2 tu nasikiaga ubao sijui wenzangu vipi?
Naunga mkono hoja kuna jamaa yangu Mkenya amewala sana wadada wa pale Mogas mpka wake za watu kisa ni ngeli...
sounds awesome, nakumbuka nikiongea na demu yoyote mkali kwa kingereza cha Marekani anajichekesha na tukiwa ndani ni romance kwenda mbele, anacheka mimi nakupiga finga