Re: My husband

jibu lahisi:alitaka uone kakusave jina gani iliuhisi anakuvalue zaidi,hamna lolote,wizi mtupu!jaribu sikumoja uombe ghafla kama hato kunyima?
 
gold digger,.....mmmmmmh!...umenikumbusha ule wimbo wa kanye west
<br />
<br />
mkuu sory katika hizo mbili ulizotest ni ipi bora? Hebu nipe jibu wth u're comperative analysis
 
limbwata dada preta halipom ila niakili yako kuituma tu kama umeshapewa limbwata amini Mungu yote yanawezekana
 
Mshiki hebu toa maelezo kidogo nini sifa ya bumunda?

wewe Meku, Preta na Nyamayao wote mabumunda mnayapata...lol
yalikuwa maarufu sana haya madude na zile ngubiti..
mabumunda hovyo sana, unakula hata hushibi, upepo mtupu, empty kabisaaaa
 
wewe Meku, Preta na Nyamayao wote mabumunda mnayapata...lol
yalikuwa maarufu sana haya madude na zile ngubiti..
mabumunda hovyo sana, unakula hata hushibi, upepo mtupu, empty kabisaaaa

kweli?...heeee!...sema siyafahamu ingawa nimewahi yasikia mkuu
 


heheeeee King'asti nipe hiyo binduki yako aisee niimarishie majeshi kabisa...lol! manati naona ntatumia nguvu nyingi kulenga bana...
 
wanaume akili zetu ndogo sana hasa linapokuja swala la mapenzi,mtu uniibiwa hapo unaoona kama umependwa,kwa hiyo kupewa simu na kukuta husband ndo unapeeeeendwa!pole weeee!
 
wewe Meku, Preta na Nyamayao wote mabumunda mnayapata...lol<br />
yalikuwa maarufu sana haya madude na zile ngubiti..<br />
mabumunda hovyo sana, unakula hata hushibi, upepo mtupu, empty kabisaaaa
<br />
<br />
mshiki hebu nieleze ni mabumunda yapi hayo mnayomaanisha.haya haya ya kule mamndenyi tunatengeneza au ni kitu kingine mai?kiki mshikiee!
 
wanaume akili zetu ndogo sana hasa linapokuja swala la mapenzi,mtu uniibiwa hapo unaoona kama umependwa,kwa hiyo kupewa simu na kukuta husband ndo unapeeeeendwa!pole weeee!

kuna mambo ambayo mtu ukiyaona yanakuongezea imani na si kwamba ndo kupendwa kwani vingine ni vya muda
 
wanaume akili zetu ndogo sana hasa linapokuja swala la mapenzi,mtu uniibiwa hapo unaoona kama umependwa,kwa hiyo kupewa simu na kukuta husband ndo unapeeeeendwa!pole weeee!

aiseeee!
 
Watu wapo strategic bwana,
wana inject kitu taratiiibu
kikigonga mwisho kwishney
 
ila mkuu inaonekana ulifurah kimoyo moyo.duuh.!nadhani huyo chick yuko poa?kakutell yupo single?fanya makeke daah bahati..
 

Kwa nini uliamua kupekenyua simu yake? ulitaka kumtafuta kosa ili umuache?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…