Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nitulie kwanza mdogo wangu niisome.
Mko vizuri. Hongereni sana, nakupa ephen_ huyo anakufaa ni mali safi.dah japo hii ni diss, ila Umesha blunder 😄.
ila kunywa pombe ni sifa??, basi ukoo wetu Umesha feli. Maana hakuna anaye kunywa mkuu.
Mimi hutaniweza asee nina matukio mengi sana yakutisha. Japo sio ya wanawake.Mimi nakutaka wewe
Hiyo ni sifa ya wanawake kukataaMimi hutaniweza asee nina matukio mengi sana yakutisha. Japo sio ya wanawake.
Eeehh mimi niache na wahuni wenzangu. Kulala sero kawaida tuHiyo ni sifa ya wanawake kukataa
Huo ni ujinga sio ujanjaEeehh mimi niache na wahuni wenzangu. Kulala sero kawaida tu
Utatoboa, hapo uhakika.
I will never use money, to seek validation from someone.Tafuta kazi ya kufanya jijenge kiuchumi kwanza warembo utawapanga wa kutosha.
sure??, au ni improve kidogo??Utatoboa, hapo uhakika.
Usiongeze kitu usipunguze kitusure??, au ni improve kidogo??
Kuna mahali nimesema ni ujanja?Huo ni ujinga sio ujanja
hahaha, Wacha wakimbie mimi na shape mpini wangu tu.Kwenye vigezo hujazungumzia chochote kinachohusiana na pesa.
Infact watakimbia!!
hahaha, ume nikumbusha msemo wa panga mkononi, roho beganiEeehh mimi niache na wahuni wenzangu. Kulala sero kawaida tu
Sasa mbona umesema ukoo wenu hamna anaetumia?Kwanza sija wahi kuwa na interest nayo, ila dingi ali kuwa ni special aisee.
Crate kuli kata ili kuwa kawaida, hapo uki zingua una ambiwa blood fool😆
Infact, Hauwezi kua serious. 😂!hahaha, Wacha wakimbie mimi na shape mpini wangu tu.
halafu pesa za nini tena 😃, kumpa yeye au kula Mimi??
upande wa mama, upande wa mzee.Sasa mbona umesema ukoo wenu hamna anaetumia?
Wewe inawezekana uliichukia pombe kutokana na matukio ya mzee wako akilewa.