Reaching out to a certain genuine Lady

Reaching out to a certain genuine Lady

Zulu man this is how you explain yourself, ama ni change??
Kujieleza hivi inaonesha you ain’t got the bottle to be a proper lad with confidence yet kijana,Mwanaume unajinadi vipi kwa umati wa watu?????

Fika mahala muite mchumba,muweke maneno na vikolombwezo vingine na baada ya hapo wengine wataona kwa vitendo tu mara umemuita Ghetto,umemtoa dinner, umemlamba mdomo,umempiga kofi la matako,mara umembinya nyonyo , umemtia mimba 😅

Alafu kumbe bado katoto kabisa yaaan 25? Et totoo? Nitakuwa nakuweka bakora ukikorofisha watu humu
 
Kujieleza hivi inaonesha you ain’t got the bottle to be a proper lad with confidence yet kijana,Mwanaume unajinadi vipi kwa umati wa watu?????

Fika mahala muite mchumba,muweke maneno na vikolombwezo vingine na baada ya hapo wengine wataona kwa vitendo tu mara umemuita Ghetto,umemtoa dinner, umemlamba mdomo,umempiga kofi la matako,mara umembinya nyonyo , umemtia mimba 😅

Alafu kumbe bado katoto kabisa yaaan 25? Et totoo? Nitakuwa nakuweka bakora ukikorofisha watu humu
Hahaha, I was just shaping up myself, beside...... Wp (reverse p and w).

kaka tayari yupo, nam chumbia, mwezi .....
Halafu uchumba miaka mingapi??
 
Back
Top Bottom