Reaction ya wazazi binti yao akifikisha miaka 30 na hajaolewa

Kuolewa ni heshima kwa wazazi na jamii kwa ujumla.
Haya mawazo yanasababisha unyanyapaa kwa wasioolewa na kufanya ndoa zilazimishwe.

Heshima ipo kwa mtu, ameolewa au hajaolewa.

Hujaona watu wameolewa na wanafanya mambo ya ajabu wakati ambao hawajaolewa wanajiheshimu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi Yule Mh. Mbunge wa Arusha akifanikiwa kumuoa Mdee..!!?
Maana kila nikisikiliza akichangia hoja,sauti yake ile nzito nzito na rangi yake kiukwel kabisa...natamani na mimi niingie bungeni nkamuoe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…