Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 6,154
- 7,083
Ukibeba mtoto wako watu wanajua ni mjukuu wako.maisha yanaanza at 40
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukibeba mtoto wako watu wanajua ni mjukuu wako.maisha yanaanza at 40
Acha kujifarijimpaka nifike 35
Ndio kwani VIP?Wewe unaona kufika 30s bila kuolewa ni sawa?
So what?Ukibeba mtoto wako watu wanajua ni mjukuu wako.
Kwanini unasema hivo na umejuaje?Siku hizi wanawake wamejiandaa kisaikolojia. Ndoa ni za kulenga kwa manati.
Haya mawazo yanasababisha unyanyapaa kwa wasioolewa na kufanya ndoa zilazimishwe.Kuolewa ni heshima kwa wazazi na jamii kwa ujumla.
Hivi Yule Mh. Mbunge wa Arusha akifanikiwa kumuoa Mdee..!!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]