Reaction ya wazazi binti yao akifikisha miaka 30 na hajaolewa

Reaction ya wazazi binti yao akifikisha miaka 30 na hajaolewa

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
13731679_1782683438642845_7082571370556457890_n.jpg
 
Usiombe hio kitu inawaumiza sana sana Wazazi, kila siku unaalikwa kwenye harusi za wenzio! Dah
 
Eti tunauza maji...
Sema usitembelewe na mwanaume watauliza harusi lini?
 
wanawake wa sasa hawawezi kula ugali kwa kachumbari wanataka chipsi kuku unafikiri nani atawaoa kama wanapenda vikubwa pekee
 
Siku hizi wanawake wamejiandaa kisaikolojia. Ndoa ni za kulenga kwa manati.
 
Back
Top Bottom