Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Kila mtu anaumizwa na anayofanya mwenzie 😅Akereke tu, nasi anatukera pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu anaumizwa na anayofanya mwenzie 😅Akereke tu, nasi anatukera pia.
Subiri uje uitwe Utoporo na wenye hasira kali.Natoa wito Kwa uongozi wa klabu yangu ya Simba kupitia scouting ya timu uwamulike hawa wachezaji wa As Real Bamako. Humu tunapata wachezaji wengi wazuri kwa bei nafuu sana
Nimeona wachezaji wenye uwezo zaidi ya hawa kina baleke, kyombo, sakho, boko, Banda Saido na mauchafu mengine mengi tuliyoyajaza klabuni kwetu.
Ushauri wangu uzingatiwe
Simba nguvu moja
naye ana siku zakeMlifeli kumkosa Aucho. mchezaji kajileta nyie mnaleta ubahili kama manzoki tu
Kila mchezaji kuna siku anakuwa vibaya. Hata messi na ronaldo wanaharibu sometimenaye ana siku zake
Anatumia jina gan humu huyo mzamiru?😅😅😅 Ila Mzamiru yupo humu, akiona hatojisikia fresh.
Sema huwa nakereka mtu akitoa pasi, badala ya kufungua ili apewe tena, anajifichaa 😅😅
Nenda kaangalie ule Uzi ambao kuna jamaa aliweka list ya wachezaji ambao Simba wanatakiwa kuwatimua, Mzamiru nae aliwekwa.Anatumia jina gan humu huyo mzamiru?
Ni tag huo uziNenda kaangalie ule Uzi ambao kuna jamaa aliweka list ya wachezaji ambao Simba wanatakiwa kuwatimua, Mzamiru nae aliwekwa.
Kuna ID sio kongwe, ilitoa sana povu. Ndio yeye 😅😅😅. Wadau walikuwa hawajui wanabishana na nani 😅😅😅
Hata sikumbuki aliupost nani, ila tembelea jukwaa la sport, check nyuzi zinazohusu Simba. Au akicomment hata humu, nitakutag 😅😅😅Ni tag huo uzi
Mi ntamfata inbox nimchanee😁😁 wanaroga vijana wakipewa nafasi hovyooHata sikumbuki aliupost nani, ila tembelea jukwaa la sport, check nyuzi zinazohusu Simba. Au akicomment hata humu, nitakutag 😅😅😅
Muhuni yule, sasa hivi kafunga pm. Kuna ile derby ya moja moja, alimchezea rafu mchezaji wetu tukapata faulo aliyofunga Aziz Ki. Baada ya mechi nilimfata inbox kumshukuru, anatukana kinoma kama sio mtu mzima vile 😅😅😅.Mi ntamfata inbox nimchanee😁😁 wanaroga vijana wakipewa nafasi hovyoo
[emoji107]Hao wachezaji wa Real Bamako wana ubora upi?
Wakawaida tu, tatizo lenu UTO huwa mnataka watu waone mmeifunga timu yenye ubora kuliko zinazofungwa na Simba.
Wanakuwa wamechokaWakitoa pasi, alaf wanajificha wasipasiwe tena [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji107]Wazee wa shirikishoooooo!!
mmekutana na timu za level zenu basi mnabwabwajaa... mgekuwa na timu nzuri si bado mgebaki club bingwa???
Mkishibaga maboga mnasumbua😀😀 yaani timu inacheza shirikisho wachezaji wake wakasajiliwe Na timu inayocheza Cl kweli, bora ungesema hivi simba isajili baadhi ya wachezaji toka vipers maana waliitoa tp mazembe CL na pia mwananchi day waliifunga timu flani...Natoa wito Kwa uongozi wa klabu yangu ya Simba kupitia scouting ya timu uwamulike hawa wachezaji wa As Real Bamako. Humu tunapata wachezaji wengi wazuri kwa bei nafuu sana
Nimeona wachezaji wenye uwezo zaidi ya hawa kina baleke, kyombo, sakho, boko, Banda Saido na mauchafu mengine mengi tuliyoyajaza klabuni kwetu.
Ushauri wangu uzingatiwe
Simba nguvu moja
Kwa hiyo simba wote mwenye level ya chini kabisa ni Chama?Sijaona hata mwenye level ya chama... Kwendraa
Acha ujingaNatoa wito Kwa uongozi wa klabu yangu ya Simba kupitia scouting ya timu uwamulike hawa wachezaji wa As Real Bamako. Humu tunapata wachezaji wengi wazuri kwa bei nafuu sana
Nimeona wachezaji wenye uwezo zaidi ya hawa kina baleke, kyombo, sakho, boko, Banda Saido na mauchafu mengine mengi tuliyoyajaza klabuni kwetu.
Ushauri wangu uzingatiwe
Simba nguvu moja