Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Kabisa ila kwa ujuha wako wa biolojia jua kuwa hata popo ni mnyama nyangumi ni mnyama na koboko ni mnyama. Hata kenge ni mnyama pia bila kuwasahau vyura kwa wingi wao ni wanyama piaNa mnyama hakosi manyoya na mkia
Wakimshika Mayele kama walivyofanya mwanzo wanatoboa kiulaiiiniNi kweli, real Bamako (isomeke Bamakoooo) wanashika nafasi ya mwisho, ni wachanga kwenye michuano hii(kama yanga tu) ila nimewaangalia facial expressions yao tangu wanatua terminal III hadi wanafanya mazoezi wana jambo lao.
Matokeo tofauti na ushindi yanga yatawaweka rehani.
All the best Young Africans (isomeke Yanga Afrika)
Mimi ni mnyama.
MnmhWananchi leo lazima tushinde. Maana hakuna namna nyingine.
Tuthamini vyetuNi kweli, real Bamako (isomeke Bamakoooo) wanashika nafasi ya mwisho, ni wachanga kwenye michuano hii(kama yanga tu) ila nimewaangalia facial expressions yao tangu wanatua terminal III hadi wanafanya mazoezi wana jambo lao.
Matokeo tofauti na ushindi yanga yatawaweka rehani.
All the best Young Africans (isomeke Yanga Afrika)
Mimi ni mnyama.
Sasa nani hana mkia kati ya hao?Kabisa ila kwa ujuha wako wa biolojia jua kuwa hata popo ni mnyama nyangumi ni mnyama na koboko ni mnyama. Hata kenge ni mnyama pia bila kuwasahau vyura kwa wingi wao ni wanyama pia
Na mkia ni sawa na mwiko uliochomekwa nyuma ya gongowaziNa mnyama hakosi manyoya na mkia
Jiangalie Sana, hivi unajua kuwa we ni mkimbizi tu ndani ya nchi hii?Na mkia ni sawa na mwiko uliochomekwa nyuma ya gongowazi
Dah aisee, itakua hukuelewa uzi na hii tabia ya kucoment baada ya game ikomeKwa Iyo ulijua yanga ndo wajinga mzee