Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Ni kweli, real Bamako (isomeke Bamakoooo) wanashika nafasi ya mwisho, ni wachanga kwenye michuano hii(kama yanga tu) ila nimewaangalia facial expressions yao tangu wanatua terminal III hadi wanafanya mazoezi wana jambo lao.
Matokeo tofauti na ushindi yanga yatawaweka rehani.
All the best Young Africans (isomeke Yanga Afrika)
Mimi ni mnyama.
Matokeo tofauti na ushindi yanga yatawaweka rehani.
All the best Young Africans (isomeke Yanga Afrika)
Mimi ni mnyama.