Aisee ndugu zangu,always mapenz yana run dunia,sisi Wavulana tunavumilia sana shida than girls.
{kuhusu kusoma ucjali,mi nasoma but siwez kufikia hatua ya kuweka post makaburini,hahahaiahahahahaha,you make me happy guys.
Mi nashindwa hata niseme nini maana mtu mwenyewe hajataja jinsia yake wala umri .
tukifuatilia jina linacheza pande zote mbili.
kinachonishangaza zaidi ni pale tunapotafsiri hadi majina kwa lugha za wenye ( Lucky = Bahati)
tuambie umri wako ilitukushauri usije ishia pabaya!!!!