Real Madrid ilipomaliza mechi bila kuwa na shot on target hata moja

Real Madrid ilipomaliza mechi bila kuwa na shot on target hata moja

Usitumie nguvu kujitetea. Yanga ikishinda goli moja huwa mnaiponda sana kwamba ni timu mbovu ila hapo hapo hata Madrid amewai kushinda kwa goli moja.

Hivi vitu ni vya kawaida sana, wewe kwa sasa kubali kutaniwa na kuchekwa. Usihangaike kutafute nisingizio.

NoShotOnTarget FC
 
Usitumie nguvu kujitetea. Yanga ikishinda goli moja huwa mnaiponda sana kwamba ni timu mbovu ila hapo hapo hata Madrid amewai kushinda kwa goli moja.

Hivi vitu ni vya kawaida sana, wewe kwa sasa kubali kutaniwa na kuchekwa. Usihangaike kutafute nisingizio.

NoShotOnTarget FC
Mnapenda kueneza propaganda halafu msijibiwe. Mkijibiwa kitaalamu na kwa facts mnasema tunatumia nguvu kujitetea. Nyie bots viumbe wa ajabu sana.
 
Mnapenda kueneza propaganda halafu msijibiwe. Mkijibiwa kitaalamu na kwa facts mnasema tunatumia nguvu kujitetea. Nyie bots viumbe wa ajabu sana.
Ni kawaida kila upande kueneza propaganda kwa mpinzani. Yanga kashinda moja kwa CBE, mkasema Yanga ni timu mbovu, ila mkasahau hata timu kubwa huwa zinashinda kwa goli moja baadhi ya mechi.

Simba katoa sare akiwa na 0 on target, mmetaniwa kidogo tayari mnakuja na mifano. Kule kwa Yanga hakuona mifano, sio?

Hiyo maan yake ni kawaida sana, muda wako wa kutaniwa ukifika kaa kwa kutulia, subiri mechi inayofuata ufute makosa.
 
Kuna wakati unasikiliza baadhi ya watu huku mitandaoni unabaki kujiuliza hawa watu wanaujua kweli mpira au naongea na bots (kwa wasiojua bots ni mifumo ya kicomputer inayoact kama binadamu mitandaoni ikiwemo kupost comments).

Mambo mengi ambayo tunashadadia ni ya kawaida sana kwenye ulimwengu wa mpira. Timu kubwa inaweza kutandikwa goli za kutosha hadi ukashangaa. Timu ndogo sana usiyoitegemea inaweza kuifunga timu kubwa bila mtu yoyote kutarajia. Ndiyo ni mambo ya kushangaza ila yakitokea siyo mara ya kwanza na siyo ishara ya kiama!

Kuna hili limeibuka baada ya mechi ya Al Ahly Tripoli vs Simba, ambapo watu wanaonyesha kushangaa hadi wengine wanafikiria kuweka mabango kisa Simba imeshindwa kupata shot on target hata moja katika mechi nzima.

Nikiweka mfano mmoja wa haraka, ni mwaka jana tu hapo 2023 wala siyo mbali, Real Madrid akicheza nyumbani dhidi ya Barcelona walifungwa 0-1 na wakamaliza mechi bila kuwa na shot on target hata moja. Real Madrid ilikuwa full mkoko, Vinicious, Modric, Benzema, Camavinga, nk. wote ndani.

Mambo kama haya yakitokea unaweza na unaruhusiwa kushangaa ila usipitilize sana, mbona yanatokeaga sana tu? Kwanza kutokuwa na shots on target haimaanishi haukufika langoni mwa mpinzani na haimaanishi haikufanya attempt yoyote ya kufunga dakika zote 90, ni kwamba katika mashuti yote na vichwa vyote mlivyopiga hakukuwa na hata moja lililokuwa target ndani ya milingoti ile 3. Nothing more nothing less. Ukielewa hivyo wala hautawaza saaana.

Jifunzeni mpira nyie bots.
Bot ni kifupi cha robot
 
Huna akili Madrid usifananishe na hayo Mavi yako ya Tanzania ni mbingu na ardhi
 
Jana pia Inter wamecheza kwa mbinu ya kupaki basi
 
Back
Top Bottom