Kama mnakumbuka wakat wa nourinho na hata popote mournho anapofundisha,cha kwanza nikuwaweka vzr wachezaji kiakil nakubadilika kulingana na mchezo unavyokwenda,sasa hapa kwa carlo hiki hakipo haswa kulingana na mchezo unavyokwenda....tumeathirika kiakil kias kwamba tunajua kabisa kuwq tukikutana na atletico lazima tufungwe,so inakuwa tunatimiza wajibu tu kuingia uwanjan...la pili ni swala lakumchezesha bale,bale kawa boss na yeye,hakimbii wala hachez kwa malengo ni swala nae anataka kufunga...hachezi kwa kufanya maamuzi ya haraka kama msimu jana,kinachotokea sasa ni yye kuwa anapoteza mpira mara nyingi sana,inafahamika kabisa ronaldo siyo mzuri kukaa na mpira ikiwa hakimbii huwa anapoteza sana,ila kwa uchezaj wa bale sasa tatizo limeongezeka ambapo sasa ni advantage kwa maadui maana hakuna mashambulizi yakustukiza tena...ni kama vile anautafuta ufalme kwa nguvu,...kwa mtindo huu sion kikombe chochote msimu huu pale kwetu maana hatuna madhara yenye kuogofya....barca wanatumia style yetu ya mwaka jana na zaidi ni kuwa ile MSN yao ina uwezo wakukaa na mpira nakupunguza kwa hiyo sion uwezekano wakuifunga barca kwao pale kama mwendo ndo huu...mwiso eneo la beki nafikir kuna haja yakuangalia rotation maana kukaa nako benchi sana kuna athar zakutojiamini...kwa leo ni POOOOOOOR PERFOMANCE hakuna sehemu iliyokuwa nzuri kwa mm wote nawapa mark 0.5/10