Salamander a.k.a mjusi-Leo hawaombi Ban.
-Leo hawaombi Ban.
Real madrid Leo ushindi ni lazima
-Hivi wenzetu wanawezaje kujaa uwanjani dakika 8-10 kabla ya mechi?
-Tanzania Lisaa limoja au masaa mawili kabla ya mechi na hata hivyo baada ya dakika chache kabla ya mechi kuanza huwa washabiki hawajai haraka kama hawa wenzetu.
45 min+1 HALF-TIME: Atletico 0-0 Real Madrid
‪We have had the best of the action thus far. Oblak ndio aliofanya mpaka sasa 0 - 0 ‪#‎APorLaUndecima‬ ‪#‎UCL