Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Isco so magical, kwenye training wenzie wanamuita 'video game player', coz vitu anafanya are too good to be true. Halafu kanapenda kula kula, jamaa unaambiwa akija training ukimsachi lazima utakuta chocolates na vitu kama hivyo.

Disco lake ndio ukombozi wetu kesho.
 

Dogo ninachompendea sio mtu wa kupanick, na ile miguu yake ilivyo akunaga mtu wa kuchukua mpira pale. Walimuuliza maswali ya kizushi ya kumfanisha na Iniesta, akawaambia Iniesta Iniesta, mimi ni Isco. Wale ndio wachezaji tunaotaka wakae Bernabéu mpaka wachoke wenyewe.
 

ESPN | Top 3 players with most successful passes in the UCL 2014/15 so far...

 
Yup yup, halafu huwezi amini Valencia walikuwa wanampeleka Segunda B huko, ndio Malaga wakatokea. Lately tunasajili mafundi mpaka Cruyff anawa-mind 'makalio' wenzake kwamba Isco na Kroos walitakiwa wachezee kwao, na kina Rakitic ndio tuwe nao sisi
 

labda Iniesta wa sasa ila sio wa miaka 5-6 iliyopita.
 
Yup yup, halafu huwezi amini Valencia walikuwa wanampeleka Segunda B huko, ndio Malaga wakatokea. Lately tunasajili mafundi mpaka Cruyff anawa-mind 'makalio' wenzake kwamba Isco na Kroos walitakiwa wachezee kwao, na kina Rakitic ndio tuwe nao sisi

Valencia walimuuza Isco Malaga na maneno, eti muangalieni huyo dogo ni mvivu mvivu.
 
labda Iniesta wa sasa ila sio wa miaka 5-6 iliyopita.

We nae bado hujaelewa, unaambiwa Isco kakataa kufananishwa na mtu yeyote, he said Iniesta is a great player and made history, but he's going to make his own history too.
 
Valencia, of all the teams. Sijui walishindwa vp kuona kipaji cha dogo, wakati mara nyingi wako makini eneo hilo.

Basi tu ilibidi hela iende Malaga, na sikumbuki sijui walichukua bei gani kwa Real! Na Isco mwenyewe anajisikia Malageño sana kuliko Valenciano.
 
We nae bado hujaelewa, unaambiwa Isco kakataa kufananishwa na mtu yeyote, he said Iniesta is a great player and made history, but he's going to make his own history too.
Hahaha watu wengi wa barca wanasikia na kuelewa tunavyosema kwa wanavyoamua. Jamaa machungu yao kwetu yanafanya wasikie vitu zao tu.
 

Nakapenda sana hako katoto hasa akicheza no.10
 
Kwa mtazamo wangu,game ya kesho itaamuliwa na Isco,kroos na ronaldo..hawa watu watatu umakini wao,uharaka na maamuzi sahihi wakati sahihi yataamua game ya kesho...kule nyuma tunataka nidhamu ya hali ya juu,habar yakuruhusu setpiece kwa wale jamaa ni hatar na ninafikiri tores ataanzishwa ambaye ni hatar kwenye hiyo mipira ya setpiece...hakyanan kesho tukishinda naenda ofisini na full jezi ya real madrid kuanzia viatu hadi soks na bukta juu kuonyesha kuwa nimepata raha zaidi yakuchukua ubingwa....hala madrid
 
Ha ha ha, hiki kiburi cha Quarter final hiki. Tusubiri Juve itafika wapi msimu huu.
Kwangu tukishindwa kutetea hii ndoo, i wouldn't mind Juve, PSG wala Porto wakibeba. Ila ningependa tukutane nao hata final, tusawazishe yale maumivu ya '00s properly.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…