Ndio, kwa mfano Kroos na Ramos hawakupewa yellow cards last night, so they're discarded now. Kama mmoja wao angepewa yellow ange-miss next match.
So hata ya Pepe inafutika, ama vipi? Sema ya Arbeloa ibaki tu.Ndio, kwa mfano Kroos na Ramos hawakupewa yellow cards last night, so they're discarded now. Kama mmoja wao angepewa yellow ange-miss next match.
Kadi za njano siyo kwamba tuu zipo counted kwa mechi zilizo consecutive.?
So hata ya Pepe inafutika, ama vipi? Sema ya Arbeloa ibaki tu.
Nope! Kama unakumbuka Verratti aliikosa game yao ya kwanza QF, kwa kadi aliyoipata round of 16.Kadi za njano siyo kwamba tuu zipo counted kwa mechi zilizo consecutive.?
So hata ya Pepe inafutika, ama vipi? Sema ya Arbeloa ibaki tu.
Yule jamaa bana sijui vipi, jana kaingia tu kampiga mtu njumu, angekuwepo tangu before yule angetu-cost.
Yule mi na-suggest tungebadilishana na timu yoyote tu,Yule jamaa bana sijui vipi, jana kaingia tu kampiga mtu njumu, angekuwepo tangu before yule angetu-cost.
Kwahiyo hao jamaa wote hapo, wakichanganya vikombe vyao vyote, wanatuzidi moja tu? Haha
Yule mi na-suggest tungebadilishana na timu yoyote tu,
badala ya kubadilishana jezi, si tunawapa Arbeloa. Au tungem-donate kwa Getafe ile game walikosa digital substitutions board, + some cash, they've been good neighbors + rais wao ni Madridista.
Kuna kipindi alakuwa anakwaruzana sana na Casillas mpaka watu wakazusha wana confrict, landa yale mandevu yanamtia uzito. Lakini usishangae akaenda kumeremeta kwenye EPL yule.
Kwahiyo hao jamaa wote hapo, wakichanganya vikombe vyao vyote, wanatuzidi moja tu? Haha
Huyo ni mzushi tu, alimchagua chizi Mourinho badala ya Club, na akaanza kuleta upuuzi Twitter na Insta. Hana kitu, hata aende Barca au Atleti, sitajali hata kidogo.Kuna kipindi alakuwa anakwaruzana sana na Casillas mpaka watu wakazusha wana confrict, landa yale mandevu yanamtia uzito. Lakini usishangae akaenda kumeremeta kwenye EPL yule.
Hawakawii kusema Franco ndio kasababisha yote hayo, au mushroom fields.Nikupa fact nyingine?...Barca are in semi-final for the 11th time in UCL history, meanwhile Real Madrid are trying to win UCL for 11th time.
Hahaha why he mad tho??
Henry: "This was Crisriano's goal. What I dont like is Chicharito seems like hes won the World Cup with that.