Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Again, habari za vijiweni you tell them to your fellow cules, here we don't buy nor do we sell bs. Comprende?

Separatista wamezoea kuongea siasa hata kwenye football, ndio maana hata Guadiola juzi kapigwa faini ujerumani. Wamezoea kubeba mabango kila siku, Catalonia is not Spain! Ukiwauliza, porque? hawajui sababu. Catalonia is not Spain, official language in their sports team is spanish...Hawanaga la maana la kuongea zaidi ya uzushi la kulazimisha mawazo yao ndio uwe ukweli.
 

Unajua kama unaleta ubishi wa kijiweni, siwezi kuongea na wewe. Niambie kampuni gani iliyewalipa waliobet kwamba Barca ni bingwa? Anyway, ukiongea season kuna champions league pia. So the season will end on june.
 
Hahaha trash talking ndio zao, ndio maana aka yao wanajiita makalio. More than a club.
 
Unajua kama unaleta ubishi wa kijiweni, siwezi kuongea na wewe. Niambie kampuni gani iliyewalipa waliobet kwamba Barca ni bingwa? Anyway, ukiongea season kuna champions league pia. So the season will end on june.
yaani baada ya exhibition game ya leo bado una doubt pedigree ya the mighty Barca to go all the way and land a treble??
 
yaani baada ya exhibition game ya leo bado una doubt pedigree ya the mighty Barca to go all the way and land a treble??

Nasubiri nikuone tena kwenye hii thread next week. Kwa kawaida huwa naenjoy football & good results of my club ndio maana niko hapa kila siku, bahati mbaya hakuna mahala pa kuongea na wewe baada ya kuchapwa na Bayern, so sad...
 

ABC | Cristiano, Chicharito & Jese will head the attack vs Almeria tomorrow. These are important minutes for Jese to impress again.
 

After watching Bayern's disappointing performance against BVB, and Robben been injured again. I think it's pretty clear that Barca will go through to the UCL Final.


- While for us I think we are 60% up into the Final after seeing what Torino did to Juventus. And after their away performance vs Monaco.


Champions league UCL Final *_* Grans El Clasico | Just Imagine that.
 

-Alichofanya Ancelot ndo kafanya Pep, kwanini mtu ambae ametoka ktk serious Injury au ana majeruhi ya mara kwa mara wanapenda kumpanga kizembe?
 
Marca reports that,
Both Real Madrid and Atlético de Madrid willbe immediately banned from all transfer activity for the next two windows (this coming summer plus the next midseason winter window), according to Cadena SER and Cadena COPE Spanish radio stations.

FIFA has decided that it will hand out the same sanction that it has already given to Barcelona.

After much deliberation, football's international body has reached the conclusion that both Madrilenian clubs are guilty of continually breaking the rules regarding the signing of underage players.
 
-Alichofanya Ancelot ndo kafanya Pep, kwanini mtu ambae ametoka ktk serious Injury au ana majeruhi ya mara kwa mara wanapenda kumpanga kidhembe?
Hawa Madrid wamerun out of ideas,wanataka kuumpa timu yule mwarabu Zidane,jamaa ana ego kubwa kuliko Mt Everest anajiona yeye jina kubwa kuliko Pele na Maradona-hii ni recipe ya disaster,afadhali wamrudishe Mourino angalau yeye ata park bus
 
Hawa Madrid wamerun out of ideas,wanataka kuumpa timu yule mwarabu Zidane,jamaa ana ego kubwa kuliko Mt Everest anajiona yeye jina kubwa kuliko Pele na Maradona-hii ni recipe ya disaster,afadhali wamrudishe Mourino angalau yeye ata park bus
You should seek help, Jackline, Jackson or whatever the hell you're. Seriously
 

I hope it is not true.Tusubiri tuone, labda ndio maana Florentino anafanyakusainisha watu fasta fasta. Mi nimeona yule mbwa Bartomeu amebeba bango mpaka ahakikishe tumefungiwa, kweli yule snitch.
 
Hawa Madrid wamerun out of ideas,wanataka kuumpa timu yule mwarabu Zidane,jamaa ana ego kubwa kuliko Mt Everest anajiona yeye jina kubwa kuliko Pele na Maradona-hii ni recipe ya disaster,afadhali wamrudishe Mourino angalau yeye ata park bus

Sasa unataka kumfananisha Zidane na Luis Enrique?
 
Tusubiri tuone, labda ndio maana Florentino anafanyakusainisha watu fasta fasta. Mi nimeona yule mbwa Bartomeu amebeba bango mpaka ahakikishe tumefungiwa, kweli yule snitch.
Haha snitches get stitches , we muache. Nadhani hii ban itakuwa nzuri kwetu, kwa tulivyo(with already new signings) tumekamilika for almost 3/4 seasons. Pia tutakuwa na summer window kumalizia Verratti na De Gea, incase ni kweli tunakula ban.
 


With the type of squad we have, we won't suffer a bit if Fifa Sanctions one of our Transfer windows.
Perez knew this was coming, that's why he's working really fast on the transfers of De Gea and Verrati after completing Danilo's transfer. We will also have Cheryshev and Casemiro back next season. Both have improved their game. btw it's not Official yet. We'll see what happens.
 
Haha snitches get stitches , we muache. Nadhani hii ban itakuwa nzuri kwetu, kwa tulivyo(with already new signings) tumekamilika for almost 3/4 seasons. Pia tutakuwa na summer window kumalizia Verratti na De Gea, incase ni kweli tunakula ban.


Nimeona media zote zina-twitt the same shit, inaelekea kuna watu wanaombea hii itokee wafurahi.
 
We are Real Madrid, it is normal to be envied.

Apparently, if a FIFA transfer ban is handed out to Real Madrid and Atletico.... It will be effective from JAN 2016.. The next winter window.Madrid will be able to buy any player this upcoming Transfer Window.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…