Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

jackline1 uko wapi wangu?
nimewasili majukumu kidogo yalinitinga- Bookies wote wana hisi ushindi ni Madrid hence wanatoa hela ndogo-ma opportunist tumeweka kwa juve hapo kuna hela nzuri cause you never know which R Madrid will turn up
 
you never know which Madrid will turn up, naona script is going visivyo
 
Hapa katika kibanda umiza jamaa wanakuambia boxer haikai kwenye folen...ndo maana napenda kuangalia mpira kwenye vibanda...raha sana
 
juve naona wanatumia nguvu nyingi kwa cr7 na bale wanamuacha fundi J10, ila cavarjal na pepe bado sijawaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…