Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Its hard to believe that we are out, dispite of playing a very good game,
mkuu hamna jinsi tuukubali ukweli tu. msimu umeisha hata bila kombe la mbuzi pamoja na kuuanza msimu vema. ni kujipanga upya tu
 
Kwani si umeona aliyestahili kwenda fainali kashapita zake...

Wa hapa hapa kabaki hapa hapa...

Nimekuuliza nan kakuambia badala ya kujibu swali, unaleta b
Mbwenbwe, acha sigara ----- hizo zitakuharibu, kama huwez kuacha basi punguza kuvuta bhangi ndugu, asante kwa kusoma ujumbe,
 
Kwa hiyo hoja yako kubwa ni Watu8 anatumia bhangi...hahah!!!

Hasira za kupewa kibano hizi, subirini tu msimu ujao labda mtafika fainali...

Nimekuuliza nan kakuambia badala ya kujibu swali, unaleta b
Mbwenbwe, acha sigara ----- hizo zitakuharibu, kama huwez kuacha basi punguza kuvuta bhangi ndugu, asante kwa kusoma ujumbe,
 
Mechi ilikuwa open sana kwa wapenzi kutambua. No way madrid angepita.

Niseme kuwa carlo mbinu dhidi ya mabruda aliishiwa.

Bale anang'ang'aniwa sana sijui kwa nini. Mechi benzema alitakiwa amalize, kama ni chicharito kuingia basi bale ilibidi atoke.

No way asimuamini lucas. kwa viungo wa juve, kroos alihitaji mtu wa kusaidiana naye kazi. Kroos alichoka akawa anakaba mpira kwa macho. Huku isco anacheza mpira wa kitoto.

Ingawaje tumetoka, still ni madrid supporter till i die. Madrid klabu kubwa, hope itafanya maamuzi sahihi june kwa ajili ya klabu.

Halla madrid., hongera juventus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…